Mathayo Fungo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 319
- 510
Nimetazama CV ndeeeeefu ya Profesa Assad anayemaliza muda wake mwisho nikabaini udhaifu mdogo unaofunika utaalamu wake wote.
Profesa ni kama Maprofesa wengine tu, aliisoma dhana ya finance na audit kwa kina lakini ndio wale wale muda mrefu aliutumia kuchambua nadharia wa wazungu kuhusu audit.
Hakuwahi kutoka hapo na kuishi kama Mkaguzi na kuyaona magumu ya ukaguzi na namna ya kusimamia ukaguzi "practically."
Hii inaweza kukueleza pia tofauti ya CAG Utouh na CAG Prof Assad. Utouh kabla ya kuwa CAG alikuwa "technocrat" Prof. alikuwa "academician."
Nimesoma wasifu wa CAG mteule Kichere nikapata matumaini makubwa kwani alianzia chini zaidi akiwa Mkaguzi mpaka kupanda kuwa Mkaguzi Mkuu.
Ni mtu anayeijua sanaa na sayansi ya ukaguzi si tu kwa kuisoma katika BA na MBA yake tu bali kwa kuifanyia kazi tena katika taasisi kubwa na busy kama Unilever na Tanroads.
Zaidi kanikosha, Kichere akaenda kusoma Sheria (LL.B) kabisa. Hapa ndio kaji-arm vyema; anaijua audit na atakuwa anazijua sheria zinazosimamia audit na mawanda yake. Maana yake nini, anakwepa dhana ya kugombana na watu kwa kutokufahamu sheria. Mungu amsaidie.
Namtakia kila la kheri Prof. katika kurejea kwake kwenye "theory." na natamkia kila la kheri Charles Kichere anaporejea katika "practical."
Profesa ni kama Maprofesa wengine tu, aliisoma dhana ya finance na audit kwa kina lakini ndio wale wale muda mrefu aliutumia kuchambua nadharia wa wazungu kuhusu audit.
Hakuwahi kutoka hapo na kuishi kama Mkaguzi na kuyaona magumu ya ukaguzi na namna ya kusimamia ukaguzi "practically."
Hii inaweza kukueleza pia tofauti ya CAG Utouh na CAG Prof Assad. Utouh kabla ya kuwa CAG alikuwa "technocrat" Prof. alikuwa "academician."
Nimesoma wasifu wa CAG mteule Kichere nikapata matumaini makubwa kwani alianzia chini zaidi akiwa Mkaguzi mpaka kupanda kuwa Mkaguzi Mkuu.
Ni mtu anayeijua sanaa na sayansi ya ukaguzi si tu kwa kuisoma katika BA na MBA yake tu bali kwa kuifanyia kazi tena katika taasisi kubwa na busy kama Unilever na Tanroads.
Zaidi kanikosha, Kichere akaenda kusoma Sheria (LL.B) kabisa. Hapa ndio kaji-arm vyema; anaijua audit na atakuwa anazijua sheria zinazosimamia audit na mawanda yake. Maana yake nini, anakwepa dhana ya kugombana na watu kwa kutokufahamu sheria. Mungu amsaidie.
Namtakia kila la kheri Prof. katika kurejea kwake kwenye "theory." na natamkia kila la kheri Charles Kichere anaporejea katika "practical."