Napenda kuwatakia watanzania kheri ya mwaka mpya wa 2014. Kwa utafiti mchache ila wa kina juu ya waziri mkuu mstaafu Mh. Edward Lowasa nimegundua kuwa, ndiye mtu pekee anayeweza kuleta mabadiliko ya kiuchumi, kijamii na kisiasa hapa nchini. Nchi imekuwa ikiyumba kwa mambo hayo matatu, si kwa uzembe wa Rais Kikwete ila kwa uzembe wa wasaidizi na washauri wa Kikwete. Kwa muda aliokuwa waziri mkuu tuliona mengi aliyofanya na ni hakika kama angebaki adi leo kama waziri mkuu tungekuwa tumeshafuta maadui wa kuu wa taifa hili yaani ujinga, maradhi na umaskini.
Ndugu zangu watanzania, tusisikilize maneno ya watu wasiopenda maendeleo ila tumwombee mh. Lowasa aweze kuja kutuongoza mwaka 2015 Mungu akipenda. Taifa linadidimia, vijana hawana ajira, wengi wamekwama kwenda vyuo vikuu kwa kukosa ada. Jibu pekee la haya yote ni Mh. Lowasa kuwa Rais wa tanzania.
Ndugu zangu watanzania, tusisikilize maneno ya watu wasiopenda maendeleo ila tumwombee mh. Lowasa aweze kuja kutuongoza mwaka 2015 Mungu akipenda. Taifa linadidimia, vijana hawana ajira, wengi wamekwama kwenda vyuo vikuu kwa kukosa ada. Jibu pekee la haya yote ni Mh. Lowasa kuwa Rais wa tanzania.