Hivi huyu Hittler hayaoni mapungufu ya huyo EL wake?
Kwanza afya yake imezorota sana na pia umri wake umeenda mno. Kama kuutaka urais aende Zimbabwe kwani watamchagua bila kupingwa!
Yaani vijana wasomi pamoja na huyu mleta uzi japo umri wake nashindwa kuukadiria wananiacha hoi kweli! Ina maana hamna ambition or goal la kuachieve katika maisha yako zaidi ya kuwapigia wazee chapuo la kuongoza! Aibu kweli hii! Ndo maana aliwawekea shule za kata ili kuifunga akili yako ka mbuzi wa kichaga ukose exposure na kusocialize na watu tofauti na wa kwenye kijiji chako.
Tatizo mnashangilia kila kitu but hamkutafiti kilichokuwa kwenye shule za kata (malengo).
Jipiganie mwenyewe achana na vikongwe. Ni wakati wa vijana amkeni!
Kwanza afya yake imezorota sana na pia umri wake umeenda mno. Kama kuutaka urais aende Zimbabwe kwani watamchagua bila kupingwa!
Yaani vijana wasomi pamoja na huyu mleta uzi japo umri wake nashindwa kuukadiria wananiacha hoi kweli! Ina maana hamna ambition or goal la kuachieve katika maisha yako zaidi ya kuwapigia wazee chapuo la kuongoza! Aibu kweli hii! Ndo maana aliwawekea shule za kata ili kuifunga akili yako ka mbuzi wa kichaga ukose exposure na kusocialize na watu tofauti na wa kwenye kijiji chako.
Tatizo mnashangilia kila kitu but hamkutafiti kilichokuwa kwenye shule za kata (malengo).
Jipiganie mwenyewe achana na vikongwe. Ni wakati wa vijana amkeni!