BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Hata mwananchi hana anachokomolewa....Narudia tena kugoma kuandika habari zake hakumkomoi Makonda...Ili mradi anatekeleza majukumu yake na kulipwa mshahara...anaekomolewa ni mwananchi wa kawaida anaenyimwa hbr zinazomuhusu mkuu wa Mkoa na mkoa wake.
Hizo habari sio oksejen kwamba wakizikosa watakufa....
Labda vyombo husika ndio vinaingia hasara
Kikubwa ni pande zote waombane radhi....