Mtazamo wangu juu ya Makonda na TEF

Mtazamo wangu juu ya Makonda na TEF

Hakuna taaluma ya kijinga kwenye hii nchi kama ya uandishi wa habari. Serikali na jamji haijawekeza vya kutosha kuhakikisha wanaoenda kusomea kozi ya uandishi wa habari wanakuwa ni watu competent wakiwa advance. Yaani hii ni kozi inayisomwa na wanafunzi waliokuwa wavivu darasani ,waliopata division four au Zero advance au O Level. Kisha wakakimbia vyuo uchwara zilizoko vichochoroni maeneo ya buguruni, city centre ,tegeta na huko mbagala. Vyuo visivyo na syllabus wala usimamizi. Kama aliyeandika thread hii ni mwandishi wa habari unaweza kubashiri kwamba huyu alipata dv gani form four au six.kwa kifupi huyu kanonesha uwezo halisi ya waandishi wetu. Sijajua wale wanaosoma UDSM journalism and mass communication wanaishiaga wapi , sijui wameajiriwa wapi maana sioni kazi zikifanyika sawa na degree au masters yao. NDUGU DULLY SANTOS NISAMEHE KWA KUSEMA HAYA KWA HUU MTAZAMO WAKO HUPASWI KUJIITA MWANDISHI WA HABARI, WALA KUWA MCHORA KATUNI. UNA UELEWA MDOGO ULIOCHANGANYIKANA NA NJAA KALI YA UELEWA NA TUMBO. HUWEZI KUSEMA RC KWENDA CLOUDS USIKU NA SILAHA TENA KULAZIMISHA CLIP YA KUMCHAFUA GWAJIMA IONESHWE INA MFUNGAMANO NA CHEO CHAKE CHA UKUU WA MKOA. Hujielewi bora ukajiandikishe QT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kibri kafundishwa na Baba yake Sizonje. Wakolomije hawa wanapokosea kuomba radhi wao wanadhani ni dalili ya udhaifu kumbe ni dalili ya UUNGWANA.

Ruge anasema ogopa Mungu na Teknolojia.
Bado hujajifunza kitu, alitaka kujisafisha hadharani teknolojia ikakataa hivi kusema hivi

'Mengi yametokea,mengi yamesemwa, Leo nashukuru tulipofikia kama kuna MTU, taasisi nimeikosea Mimi ni binadamu naomba radhi,na wale ambao wanahisi walinikosea binafsi nimewasamehe. "

Kama binadamu unapungukiwa nn kutamka maneno hayo ambayo yanakila harufu ya uinjilishaji kwa MTU yeyote anayejihisi kuwa ana kiu ya kumtafuta Mungu.

Neno SINTOOMBA RADHI ni herufi 16 zenye kila sifa ya uadui,ugomvi na kutopenda suluhu.ni herufi zinazo shangiliwa sana na shetani, kama kweli tunampenda Mungu muda upo tusawazishe.
 
Hakuna taaluma ya kijinga kwenye hii nchi kama ya uandishi wa habari. Serikali na jamji haijawekeza vya kutosha kuhakikisha wanaoenda kusomea kozi ya uandishi wa habari wanakuwa ni watu competent wakiwa advance. Yaani hii ni kozi inayisomwa na wanafunzi waliokuwa wavivu darasani ,waliopata division four au Zero advance au O Level. Kisha wakakimbia vyuo uchwara zilizoko vichochoroni maeneo ya buguruni, city centre ,tegeta na huko mbagala. Vyuo visivyo na syllabus wala usimamizi. Kama aliyeandika thread hii ni mwandishi wa habari unaweza kubashiri kwamba huyu alipata dv gani form four au six.kwa kifupi huyu kanonesha uwezo halisi ya waandishi wetu. Sijajua wale wanaosoma UDSM journalism and mass communication wanaishiaga wapi , sijui wameajiriwa wapi maana sioni kazi zikifanyika sawa na degree au masters yao. NDUGU DULLY SANTOS NISAMEHE KWA KUSEMA HAYA KWA HUU MTAZAMO WAKO HUPASWI KUJIITA MWANDISHI WA HABARI, WALA KUWA MCHORA KATUNI. UNA UELEWA MDOGO ULIOCHANGANYIKANA NA NJAA KALI YA UELEWA NA TUMBO. HUWEZI KUSEMA RC KWENDA CLOUDS USIKU NA SILAHA TENA KULAZIMISHA CLIP YA KUMCHAFUA GWAJIMA IONESHWE INA MFUNGAMANO NA CHEO CHAKE CHA UKUU WA MKOA. Hujielewi bora ukajiandikishe QT.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ahsante sana mkuu Ingawa hujajadili hoja hata mstari mmoja zaidi ya kunishambulia mm na taaluma yangu ila nathamini mchango wako...Shukran.
 
kuna waliotuhumiwa kupewa bahasha za khaki usije kuwa mmoja wao kwa maana mwandiko wako unasadifu tuhuma.
 
nyie mtu akishinda mnataka mshinde naye hata kama kashinda kwa njia haramu
 
Naomba nitoe mtazamo wangu kuhusu suala linaloendelea kati ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) na Mkuu wa mkoa wa Dar-es-salaam Paul Makonda.

Naomba ieleweke kwamba haya ni maoni yangu binafsi , sijashurutishwa na mtu ila ni baada ya kufanya uchunguzi binafsi juu ya suala hili.

Kwanza kabisa nianze na suala lenyewe la Makonda kwenda Clouds bila taarifa na baadae vyombo vyote vya habari kuripoti kuwa “Makonda Kavamia clouds”. Uchunguzi wangu ulianzia hapa……Je Mkuu wa Mkoa anaweza kuwa mvamizi? Ikumbukwe kuwa RC ni mwakilishi wa rais katika ngazi ya mkoa lakini pia ndie Mwenyekiti wa Usalama wa mkoa, inakuaje akawa mvamizi?.

Je ikiwa alikwenda kwa ajili ya upekuzi katika eneo lile, atakuwa amekosea? Makonda angelikuwa ni mbunge tungekuwa tuna haki ya kumuita mvamizi lakini ni Mwakilishi wa rais ngazi ya mkoa na pia ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa hawezi kuwa mvamizi.

Baraza la Habari linataka makonda aombe radhi….Swali la kujiuliza ni Je Makonda alifanya kosa gani? (Kumbuka kutokana na vyeo vyake hatuwezi kutumia neno mvamizi)….Nilichogundua juu ya hili, wanahabari wengi tunafuata mkumbo bila kufanya uchunguzi wa tukio lenyewe.

TEF walitoa tamko kuwa vyombo vyote vya habari visiandike habari zinazomuhusu Makonda mpaka pale atakapoomba radhi.

Wiki chache baadae Wahariri waandamizi wakaandaliwa warsha (seminar) na TANAPA ya wiki nzima wakaenda Tanga.

Haikupita muda Mheshimiwa Rais akawakutanisha huko huko Tanga Makonda na Ruge mbele ya kadamnasi na akowaomba wamalize tofauti zao.

Wiki chache baadae TEF wakaitisha Press na kusema kwamba wamemalizana na Makonda na habari zake ziandikwe kwenye vyombo vya habari.

Hivi mpaka hapa bado hamjagundua kitu? Mheshimiwa rais hakutaka yawe wazi yaliyotokea lakini sisi tunataka tufahamu kila kitu ilhali hawa ndio viongozi.

Kuna kitu kinaitwa ‘Privacy’ (Usiri/faragha) kila binadamu anacho hiki….anaficha yale anayoona hayapaswi kufahamika kwa watu wengine vivyo hivyo kwa serikali haiwezi kuanika kila tukio/ taarifa kwa wananchi wake. Ikiwa rais amesema yaishe ni kwa nini tunataka Makonda aombe radhi.

Naomba ieleweke kuwa hii radhi anayoombwa Makonda aitamke haipo kisheria isipokuwa ni busara…..Sasa kwa matukio haya yotee bado hujajiongeza?.

Kuzuia vyombo vya habari visitoe habari za Makonda hakumkomoi Makonda bali anaekomolewa ni mwananchi anaetaka kujua kiongozi wake anafanya nini kwani hata yeye kuna mengine hapendi yaandikwe, kwa hili la kutoandikwa habari zake kwenye vyombo vya habari kisa kikiwa ni tukio la Clouds, mimi binafsi nasema ‘NO’ ila kama kuna jingine sawa…….lakini pia hili suala la kuzuia Totally habari zake ni kumnyima mwananchi habari.

Ikitokea wananchi wakavishtaki vyombo vya habari watakuwa wana kosa? Mana wananyimwa habari……Naomba nimalizie kwa kusema kuwa hili jambo ni vema limalizike mana kama mpaka rais ameamua kuliingilia na kulimaliza sisi tunapaswa tuheshimu busara zake…….Ya Ngoswe muachie Ngoswe.

Dull Santo

(Mwanahabari)

wewe nawe kama unamfagilia mnene huna tofauti na mwenzake TED.
 
Haki hiyo ya kwenda chombo cha redio na hizo silaha zipo kwenye sheria ya nchi?????? Zimebainishwa???

Nimesoma kwa makini naomba nikujibu.

1. Ndio anayo haki kwenda na askari wenye silaha za moto...ikiwa hakuna kosa si ataondoka?

Hujui hutakiwi kupigwa search bila kuwa na warrant?????

Clouds walikuwa na kosa gani lililohitaji akafanye inspection? Kama lipo mbona mpaka leo halijatajwa???

Je kisheria ana mamlaka ya kufanya hiyo inspection/search?????


2. Hivi watu wa Usalama wakienda kufanya inspection sehemu husika huwa wanatoa(ga) taarifa kuwa tunakuja...!!!


Repoti y nape walifanya kazi kutokana na hadidu rejea walizopewa. Muhusika kama sheria za nchi zinamruhusu na amepewa search warrant alipaswa awaonyeshe kamati.....na hili swala lingekuwa limeisha kitaaaaaaaaamboooooooooooooooo

. Kwa bahati mbaya report ya Nape haikuchunguza kama kulikuwepo na search warrant ama la


Anyway

Hayanihusu
 
Nimesoma kwa makini naomba nikujibu.

1. Ndio anayo haki kwenda na askari wenye silaha za moto...ikiwa hakuna kosa si ataondoka?

2. Hivi watu wa Usalama wakienda kufanya inspection sehemu husika huwa wanatoa(ga) taarifa kuwa tunakuja...!!!

3. Kwa bahati mbaya report ya Nape haikuchunguza kama kulikuwepo na search warrant ama la
Majibu ya Makonda kuhusu kwenda na askari,alisema wale askari ni walinzi wake binafsi aliopewa baada ya kuanzisha vita dhidi ya madawa. Hata clouds wanawafahamu vizuri. Haikuwa mara ya kwanza kwenda na askari wale pale.

Akawauliza clouds,mbona wametoa kakipande kale tu ka video wakati akiingia? Hebu watoe video nzima toka akiingia hadi akitoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majibu ya Makonda kuhusu kwenda na askari,alisema wale askari ni walinzi wake binafsi aliopewa baada ya kuanzisha vita dhidi ya madawa. Hata clouds wanawafahamu vizuri. Haikuwa mara ya kwanza kwenda na askari wale pale.

Akawauliza clouds,mbona wametoa kakipande kale tu ka video wakati akiingia? Hebu watoe video nzima toka akiingia hadi akitoka

Sent using Jamii Forums mobile app
Narudia tena Hii ishu wengi wetu tunaijadili kwa kufuata mkumbo mkuu...
 
Haki hiyo ya kwenda chombo cha redio na hizo silaha zipo kwenye sheria ya nchi?????? Zimebainishwa???



Hujui hutakiwi kupigwa search bila kuwa na warrant?????

Clouds walikuwa na kosa gani lililohitaji akafanye inspection? Kama lipo mbona mpaka leo halijatajwa???

Je kisheria ana mamlaka ya kufanya hiyo inspection/search?????





Repoti y nape walifanya kazi kutokana na hadidu rejea walizopewa. Muhusika kama sheria za nchi zinamruhusu na amepewa search warrant alipaswa awaonyeshe kamati.....na hili swala lingekuwa limeisha kitaaaaaaaaamboooooooooooooooo




Anyway

Hayanihusu

Mkuu unaandika maelezo ambayo ushaandika awali....Hivi askari hawezi kusearch mpk warrant?? Ikitokea mathalan amehisi gari limepakiza bangi na lipo barabarani unataka aende kituoni akachukue warrant???
 
Haki hiyo ya kwenda chombo cha redio na hizo silaha zipo kwenye sheria ya nchi?????? Zimebainishwa???



Hujui hutakiwi kupigwa search bila kuwa na warrant?????

Clouds walikuwa na kosa gani lililohitaji akafanye inspection? Kama lipo mbona mpaka leo halijatajwa???

Je kisheria ana mamlaka ya kufanya hiyo inspection/search?????





Repoti y nape walifanya kazi kutokana na hadidu rejea walizopewa. Muhusika kama sheria za nchi zinamruhusu na amepewa search warrant alipaswa awaonyeshe kamati.....na hili swala lingekuwa limeisha kitaaaaaaaaamboooooooooooooooo




Anyway

Hayanihusu

Askari yoyote ana haki ya kufanya inspection bila ya kuwa na search warrant ikitokea udharura wa kufanya hivyo....
 
Kibri kafundishwa na Baba yake Sizonje. Wakolomije hawa wanapokosea kuomba radhi wao wanadhani ni dalili ya udhaifu kumbe ni dalili ya UUNGWANA.


I refer my statement kuwa kuna vitu vingine ni "Privacy" ikiwa Makonda na Ruge wamemalizana ww ni nani unaetaka usikie kaomba radhi hadharani?
 
Huyo sio kwamba amesahau hili, analijua vizuri ila anajifanya haoni sababu ya wanahabari kugoma kuandika habari zake wakati anajua kisa kikoje tangu mwanzo

Narudia tena kugoma kuandika habari zake hakumkomoi Makonda...Ili mradi anatekeleza majukumu yake na kulipwa mshahara...anaekomolewa ni mwananchi wa kawaida anaenyimwa hbr zinazomuhusu mkuu wa Mkoa na mkoa wake.
 
Unafikiri kwa nini aliikwepa tume ya uchunguzi ya Nape?

Aliikwepa kwa sababu aliona hakuna haja ya yy kutoa taarifa zile...Je km baada ya kwenda taarifa alimpa mkulu yy atakuwa na mamlaka ya kulizungumzia??
 
Naomba nitoe mtazamo wangu kuhusu suala linaloendelea kati ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) na Mkuu wa mkoa wa Dar-es-salaam Paul Makonda.

Naomba ieleweke kwamba haya ni maoni yangu binafsi , sijashurutishwa na mtu ila ni baada ya kufanya uchunguzi binafsi juu ya suala hili.

Kwanza kabisa nianze na suala lenyewe la Makonda kwenda Clouds bila taarifa na baadae vyombo vyote vya habari kuripoti kuwa “Makonda Kavamia clouds”. Uchunguzi wangu ulianzia hapa……Je Mkuu wa Mkoa anaweza kuwa mvamizi? Ikumbukwe kuwa RC ni mwakilishi wa rais katika ngazi ya mkoa lakini pia ndie Mwenyekiti wa Usalama wa mkoa, inakuaje akawa mvamizi?.

Je ikiwa alikwenda kwa ajili ya upekuzi katika eneo lile, atakuwa amekosea? Makonda angelikuwa ni mbunge tungekuwa tuna haki ya kumuita mvamizi lakini ni Mwakilishi wa rais ngazi ya mkoa na pia ni mwenyekiti wa usalama wa mkoa hawezi kuwa mvamizi.

Baraza la Habari linataka makonda aombe radhi….Swali la kujiuliza ni Je Makonda alifanya kosa gani? (Kumbuka kutokana na vyeo vyake hatuwezi kutumia neno mvamizi)….Nilichogundua juu ya hili, wanahabari wengi tunafuata mkumbo bila kufanya uchunguzi wa tukio lenyewe.

TEF walitoa tamko kuwa vyombo vyote vya habari visiandike habari zinazomuhusu Makonda mpaka pale atakapoomba radhi.

Wiki chache baadae Wahariri waandamizi wakaandaliwa warsha (seminar) na TANAPA ya wiki nzima wakaenda Tanga.

Haikupita muda Mheshimiwa Rais akawakutanisha huko huko Tanga Makonda na Ruge mbele ya kadamnasi na akowaomba wamalize tofauti zao.

Wiki chache baadae TEF wakaitisha Press na kusema kwamba wamemalizana na Makonda na habari zake ziandikwe kwenye vyombo vya habari.

Hivi mpaka hapa bado hamjagundua kitu? Mheshimiwa rais hakutaka yawe wazi yaliyotokea lakini sisi tunataka tufahamu kila kitu ilhali hawa ndio viongozi.

Kuna kitu kinaitwa ‘Privacy’ (Usiri/faragha) kila binadamu anacho hiki….anaficha yale anayoona hayapaswi kufahamika kwa watu wengine vivyo hivyo kwa serikali haiwezi kuanika kila tukio/ taarifa kwa wananchi wake. Ikiwa rais amesema yaishe ni kwa nini tunataka Makonda aombe radhi.

Naomba ieleweke kuwa hii radhi anayoombwa Makonda aitamke haipo kisheria isipokuwa ni busara…..Sasa kwa matukio haya yotee bado hujajiongeza?.

Kuzuia vyombo vya habari visitoe habari za Makonda hakumkomoi Makonda bali anaekomolewa ni mwananchi anaetaka kujua kiongozi wake anafanya nini kwani hata yeye kuna mengine hapendi yaandikwe, kwa hili la kutoandikwa habari zake kwenye vyombo vya habari kisa kikiwa ni tukio la Clouds, mimi binafsi nasema ‘NO’ ila kama kuna jingine sawa…….lakini pia hili suala la kuzuia Totally habari zake ni kumnyima mwananchi habari.

Ikitokea wananchi wakavishtaki vyombo vya habari watakuwa wana kosa? Mana wananyimwa habari……Naomba nimalizie kwa kusema kuwa hili jambo ni vema limalizike mana kama mpaka rais ameamua kuliingilia na kulimaliza sisi tunapaswa tuheshimu busara zake…….Ya Ngoswe muachie Ngoswe.

Dull Santo

(Mwanahabari)
Shida wanaotangaza kuzuia kuandikwa habari ni TEF ambao ni jukwaa la wahariri tena waliopo Dar tu tena bado ambao ni waajiriwa hvyo ugali wao unatokana na kuandikwa kwa Habari.

MCT nao hvyo hvyo ,UTPC nao sio kila mwanahabari ni mwanachama zaidi ya 80% ya wanahabari sio wanachama hvyo ni kikundi kidogo cha watu ndio wana jumuiya.

MOAT ambao ni wamiliki wao wanataka pesa na faida wao ni wafanyabiashara watalaani tu kamwe hutaona wakitoa matamko ama zuio la kipumbavu kama TEF ama MCT sababu mdau mkubwa mwenye Habari nyingi ni serikali.

Wengi tunashindwa kufaham Habari inaendeshwa na wadau na mdau mkubwa wa Habari ni serikali hvyo hata hayo matamko yao wahariri wachache ndio walioshiriki kutoa bila kutumia Busara na kushirikiana na Maboss zao MOAT.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe nawe ni mwanahabari...??safari bado ndefu na inawezekana kuna chombo cha habari kimekuamini kabisa,RC hawezi kua mvamizi eti hapo ndio umeonyesha umetumia kiungo tofauti kuwaza.
 
Back
Top Bottom