Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Wakuu, amani iwe nanyi.
Nimekua nikifuatilia kwa karibu sana Matukio ya Ki Siasa hapa nchini kwetu hususan katika kipindi hiki kuelelea Uchaguzi Mkuu.
Kutokea kwa UKAWA katika Siasa zetu ni kitu ambacho ni Afya kwa Siasa na harakati za Upinzani katika kutwaa Dola.
Umoja huu umekuwa Ukipuuzwa na kukejeliwa sana na Chma tawala na wanufaikaji wa Mfumo wa chini ya Chama Tawala kwa nje nje.
Lakini haihitaji kuwa hata na Certificate kung'amua kuwa inwardly,kwa undani kabisa,CCM inajua kuwa ustawi wa UKAWA kimsingi ni equivalent na Kifo Cha CCM,ni ticket kwa CCM kuwa Chama cha upinzani 2015.
CCM hawawezi kukubali hili litokee ki rahisi rahisi,na njia Pekee ni kutafuta namna ya kuudhofisha UKAWA ikibidi Kuua kabisa Umoja huo kabla ya Uchaguzi Mkuu.
Lakini Mpaka sasa hali iko dhahiri kabisa kuwa UKAWA haingiliki ki rahisi na hii ni Changamoto kwa Chama Tawala.
Sijajua bado so far effort ambazo CCM wame invest kuutokomeza UKAWA,lakini niko sure kuwa kuna efforts nyingi CCM wame invest kuuhujumu na kuutokomeza UKAWA.
Lakini kitu ambacho ni dhahiri kabisa ni kuwa CCM hawana Mgombea wa U Rais wa uhakika so far ambaye anakubalika ki wazi wazi kabisa bila hila na kificho kwa hadhira kubwa ya CCM.
Hii ni tofauti kabisa na Miaka ya Nyuma,Mfano ni Kwa Rais JK.
Karata Pekee CCM ambayo wanayo so far kukwepa Madhara ya UKAWA ni kuahirisha Uchaguzi Mkuu wa October,kujipa Nafasi ya Kupata Mgombea anayekubalika na kumnadi nchi nzima bila kificho na at the same time,kuhujumu UKAWA.
Hii haiwezi kufanyika ndani ya Miezi 6.
Hizi Sarakasi za BVR ni viashiria tu.
Naona kila Dalili ya Uchaguzi Mkuu wa October kusogezwa Mbele.
Nimekua nikifuatilia kwa karibu sana Matukio ya Ki Siasa hapa nchini kwetu hususan katika kipindi hiki kuelelea Uchaguzi Mkuu.
Kutokea kwa UKAWA katika Siasa zetu ni kitu ambacho ni Afya kwa Siasa na harakati za Upinzani katika kutwaa Dola.
Umoja huu umekuwa Ukipuuzwa na kukejeliwa sana na Chma tawala na wanufaikaji wa Mfumo wa chini ya Chama Tawala kwa nje nje.
Lakini haihitaji kuwa hata na Certificate kung'amua kuwa inwardly,kwa undani kabisa,CCM inajua kuwa ustawi wa UKAWA kimsingi ni equivalent na Kifo Cha CCM,ni ticket kwa CCM kuwa Chama cha upinzani 2015.
CCM hawawezi kukubali hili litokee ki rahisi rahisi,na njia Pekee ni kutafuta namna ya kuudhofisha UKAWA ikibidi Kuua kabisa Umoja huo kabla ya Uchaguzi Mkuu.
Lakini Mpaka sasa hali iko dhahiri kabisa kuwa UKAWA haingiliki ki rahisi na hii ni Changamoto kwa Chama Tawala.
Sijajua bado so far effort ambazo CCM wame invest kuutokomeza UKAWA,lakini niko sure kuwa kuna efforts nyingi CCM wame invest kuuhujumu na kuutokomeza UKAWA.
Lakini kitu ambacho ni dhahiri kabisa ni kuwa CCM hawana Mgombea wa U Rais wa uhakika so far ambaye anakubalika ki wazi wazi kabisa bila hila na kificho kwa hadhira kubwa ya CCM.
Hii ni tofauti kabisa na Miaka ya Nyuma,Mfano ni Kwa Rais JK.
Karata Pekee CCM ambayo wanayo so far kukwepa Madhara ya UKAWA ni kuahirisha Uchaguzi Mkuu wa October,kujipa Nafasi ya Kupata Mgombea anayekubalika na kumnadi nchi nzima bila kificho na at the same time,kuhujumu UKAWA.
Hii haiwezi kufanyika ndani ya Miezi 6.
Hizi Sarakasi za BVR ni viashiria tu.
Naona kila Dalili ya Uchaguzi Mkuu wa October kusogezwa Mbele.