Mtazamo: Sidhani Kama Nitaoa!

Mtazamo: Sidhani Kama Nitaoa!

Ukiingia na mawazo ya kuwa ipo siku mtaachana basi mtaachana. Ila tuliomo ndoani tutapambana mpaka mwisho nadhani mwisho utakua mzuri kama mwanzo hivyo vya katikati na vya muda tuu.
 
Fafanua vizuri point yako Mkuu
Mkuu,namaanisha kuwa na Mwanamke kimahusiano na nikawa sina mpango wa kumuoa ila tukakubariana anizalie Watoto(tuzae Watoto watatu),na kisha nitimize jukumu la kuwalea kama Baba,baadaye wakifika umri wa Kiserikali niwachukue moja kwa moja
 
Ni sawa na kuogopa kuzaa sababu unajua kuna kifo. Au kuogopa kutafuta maisha sababu unajua kuna kifo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom