Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,721
- 1,515
Masonic pre-member
Bado mtoto...akikua ataelewa.Sio kila story inayoisikia humu au vijiweni kuhusu wanawake ni kweli....ndoa ni pande mbili ziishi kwa kutegemeana...kuna vitu vingi...and you can make your wife different from those rumoured about!
Siku zote ukiishi kwa kutazama maisha ya mwingine. Utaangamia. Everybody has different destiny, ndoa ya mwenzako inaweza ikavunjika mapema ,na yako ikadumu vizuri..Kwa Jinsi Ninavyoona watu wanavyoleta Nyuzi za wake zao wanavyozingua naona huu mkondo utamfuata kila mtu!
Nilikuwa na Mzuka wa Kuja kumuoa Mwanamke wangu Kipenzi ila daah kwa Hii Hali Bado, eti uoe ghafla after two years mnaachana afu labda mna mtoto/watoto .... si Mwanzo wa kuyumba Huo?
Aaah Mimi Kuoa Hapana!
Usiogope mkuu kila mtu na zari lake kwenye maisha ya ndoa cha msingi umuombe Mungu sana tena sana kumpata mwenza wako na wewe mwenyew usiwe muigizaji wa maishaKwa Jinsi Ninavyoona watu wanavyoleta Nyuzi za wake zao wanavyozingua naona huu mkondo utamfuata kila mtu!
Nilikuwa na Mzuka wa Kuja kumuoa Mwanamke wangu Kipenzi ila daah kwa Hii Hali Bado, eti uoe ghafla after two years mnaachana afu labda mna mtoto/watoto .... si Mwanzo wa kuyumba Huo?
Aaah Mimi Kuoa Hapana!
Mtu mwenyewe mtazamo kama wako wa kuishi Kwa kusikiliza maneno mabandiko humu jukwaani tu unasema huoi sasa ndo utaiweza kila kitu kinachangamoto ni wewe nia yako ya dhati moyoni maana ukioa shida usipoa pia shida
Mkuu utajuaje kama Huyu Ndio wako?Nlikua na mawazo kama yako, ila sasa nimeoa na ni mwaka wa tano sasa, naomba nikushauri kitu ''tafuta mke wako kweli, usije ukaoa mke ambaye Mungu hakukupangia awe mkeo" ukioa mtu asiye mkeo, lazima upigiwe, lazima mgombane na hayo yote ambayo umeyaona au kusikia kuhusu ndoa.otherwise ndoa sio mbaya ila inahitaji tu kuvumiliana, kukubali kusamehe/give and take, upendo wa hali ya juu lakin pia ujue kupiga mashine vizuri ili mkeo aridhike.
Fafanua vizuri point yako MkuuLaiti ningelipata Watoto watatu kabla,wazo la kuoa nalifuta na nnajikita kuwaandalia Watoto maisha yao ya baadaye, na wakishafikisha miaka 7 nnawachukua kwa ajili ya masomo na hapo ndipo ntakuwa nimelibeba jukumu zima la malezi kama Mzazi wao kwa maisha yao ya baadaye