Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,315
- 8,747
Kwa Jinsi Ninavyoona watu wanavyoleta Nyuzi za wake zao wanavyozingua naona huu mkondo utamfuata kila mtu!
Nilikuwa na Mzuka wa Kuja kumuoa Mwanamke wangu Kipenzi ila daah kwa Hii Hali Bado, eti uoe ghafla after two years mnaachana afu labda mna mtoto/watoto .... si Mwanzo wa kuyumba Huo?
Aaah Mimi Kuoa Hapana!
Nilikuwa na Mzuka wa Kuja kumuoa Mwanamke wangu Kipenzi ila daah kwa Hii Hali Bado, eti uoe ghafla after two years mnaachana afu labda mna mtoto/watoto .... si Mwanzo wa kuyumba Huo?
Aaah Mimi Kuoa Hapana!