Mtazamo binafsi

ha ha ha sio hivyo mkuu...hata mkiota usiku hayo mawazo huwa yanawaijia,sema hamtaki kusema ukweli
Wengine hatuna shaka tumeridhika na tulivyo kuanza kudhania kwamba Kuna kitu tunamiss hizo ni ramli kwa nini useme nafsi zetu??? Ilhali wenyewe tunawaza vingine tofauti na uwazavyo wewe?
 
Wengine hatuna shaka tumeridhika na tulivyo kuanza kudhania kwamba Kuna kitu tunamiss hizo ni ramli kwa nini useme nafsi zetu??? Ilhali wenyewe tunawaza vingine tofauti na uwazavyo wewe?
Tunaishi na nyie huku mitaani kwa hiyo changamoto mnazotupatia tunazijua..
 
sithubutu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…