Mtatiro: Umefanyika Wizi wa shilingi milioni 369, mali ya chama cha wananchi CUF

Naamini Viongozi wa CUF watachukua hatua stahiki za kuwafungulia mashtaka wale wote waliohusika Na Utakatishaji fedha za ruzuku za Cuf.Kama Msajili wa vyama alitoa Barua ya kusitisha utoaji wa ruzuku Kwa Cuf Leo iweje Hazina watoe fedha hizo? Akaunti ya CUF ya kupokelea Ruzuku inafahamika miaka yote Leo iweje fedha iweke kwenye Akaunti tofauti?Fedha za CUF iweje zipelekwe kwenye Akaunti ya MTU binafsi? Ni dhahiri Vyombo husika vitalishughulikia suala hili kwani fedha hizo ni Kodi za watanzania masikini Na wanyonge.
 
mapicha pichatu. Watu washapiga mpunga, hapa cuf ndiyo imeshamalizwa kisiasa.

Namshauri maalim seif kuchukua maamuzi magumu kama Ndugu Lowassa.
 
Kwa mtaji na uhuni wa namna hii, kamwe nchi haiwezi kunyooka. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu; haya yanayofanyika kwa rasimali za umma ni kwa maslahi ya taifa hili? How can this country stoop so low.
 
Leo Mtatiro ni Kada mtiifu tena mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkuu wa wilaya maajabu
 
Back
Top Bottom