Hafikirii mbali kuwa DEAD UKAWA WALKING.MTATIRO BANA BADALA YA KUANGAIKA NA JIMBO LA SEGEREA ANAHANGAIKA NA LIPUMBA HIVI ANADHANI KWA PROPAGANDA HIZI 2020 NDIO ATAKUWA MGOMBEA WA KIPEKEE WA UKAWA
Le Proffeseri haku vamia ofisi, bali ali kwenda ofisini kwake,alipo ona kuna Janjawed pale mlangoni ndio aka waita Blue gard waka wa ondoka, na alie kaidi ali tolewa kwa nguvu.HAKUNA ZEZETA MWENYE UWEZO WA KUKUJIBU ILI SWALI LAKO. JAPO KWA WENYE AKILI KUBWA WANAJUA LIPUMBA KASHAAMUA KUTUMIKIA USHETANI KWA KUTUMWA NA SHETANI WEZAKE NA LAZIMA WAMLINDE KUFANIKISHA USHETANI WAO.
Nilicho gundua huna sababu ya kuchangia mada kama hizi ambazo zinamtetea pro.. Lipumba.
Subili nikuambie hivi unashindwa kuamini elimu ni zaidi ya maalifa ya ujanja ujanja? Umesahau kuwa kutokana na elimu yako baadhi ya mambo kwako kufanya ni AIBU! Sasa kama haya kwako unakumbuka vipi umesahau kumshauri prof.. Mzima wa Lipumba kuwa anacho fanya anaaibisha kofia yake ya u-prof.?
Ni hayo tu kielimu changu cha la saba kwa hilo na stutus yangu mtaani kubishana ovyo ni aibu sijui nyinyi ma-prof kwenu vipi....?
Nimesoma ujumbe wa Julias Mtatairo ambao anasema kuwa Cuf wanapambana katika vita kali ya dhidi ya Lipumba, Dola, ACT pamoja na CCM. Tukiachana na vyama vya siasa alivyovitaja Mtatiro na Prof: Lipumba wanayehangaika naye nimeshangazwa kwa kuiingiza Dola katika mapambano yao.
Inakuwaje wanasiasa watanzania wanaposhindwa na kupatana baada kuparaganya huwa wanaisingia Dola, kama anavyotaka Mtatiro kuuaminisha umma kuwa ndio wanaowasababisha wao kugombana kwao?
inasikitisha sana mwanasiasa kijana kama kama Julias Mtatiro tena ni aibu kusema kuwa cuf wanapambana na Lipumba+Systeam+Ccm+ACThuku akitaka huruma ya wananchi ili waonekane kuwa wanaonewa katika mgogoro huo wakati ni uzembe wa Sharif Hamadi ndio uliwafikisha hapo.
Laiti kama Sharifu Hamadi asingeichelewesha barua ya kujiuzulu kwa Lipumba na kuitisha mkutano mkuu amabao ungekubali kujiuzulu kwake ndani ya muda muafaka haya yanayotukea leo yangetokea?
Mtatiro mara kwa kwa amekuwa akinukuliwa na vyombo vya habari au akiandika katika mitandao ya kijamii kuwa Lipumba alisutwa na dhamira yake na kuamua kujiuzulu, inakuwaje leo anataka kurudi Cuf, eti anatumiwa na systeam khaa?
Ni kweli kabisa kuwa Prof: Lipumba katika maelezo yake wakati alipokuwa akijiuzulu wadhifa wake, gwiji na galacha huyo wa uchumi alitanabahisha kwamba dhamira yake ilimsuta kuendelea kumuunga mkono Edward Lowassa aliyejiunga na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi-UKAWA ili kugombea urais wa nchi hii.
Msimamo wa Profesa Lipumba wa kutokuwa na imani juu ya Lowassa, aliyetoka CCM na kujiunga na CHADEMA ili agombee urais, haukuchipua tu mithili ya uyoga, bali ulianza siku nyingi tangu kipindi Lowassa angali CCM. Hivyo kudhihirisha maoni yake ilikuwa ni haki yake ya msingi na ya kikatiba. Na kuyasimamia hayo bila ya kutetereka ilikuwa ni ithibati ya ujasiri na kutoyumba kwake. Nani asiyemtaka mwenyekiti kama huyo? mwenye msimamo imara
Wanasiasa wengi, hasa wa upinzani, hivi sasa wanalalama kuwa demokrasia inaminywa hapa nchini kutokana na kuzuiliwa kwao kutoa maoni yao kupitia mikutano ya hadhara na makongamano juu ya vile wanavyoviamini na kuvisimamia.
Wanasiasa haohao, ndiyo waliyemshambulia na wanaoendelea kumshambulia mpinzani mwenzao Profesa Lipumba, kwa ‘kosa’ la kutoa maoni na misimamo yake juu ya kile alichokiamini.
Yaani walimtaka Profesa Lipumba aikalifishe nafsi yake kwa kutokuwa huru kutoa maoni, na misimamo yake ili tu wao wakidhi matlaba zao, halafu na wao wanaloloma kubinywa uhuru wao wa kutoa maoni yao mikutanoni.
Sasa kwa kuwa uchaguzi ulikwishamalizika, na kwamba Lowassa si mgombea tena, hivyo Profesa Lipumba akaonelea kwamba ili kuendelea kukiimarisha chama chake, ni vyema arejee kwenye kiti chake ambacho kwa yakini kabisa bado kina vumbi tangu alipokiacha kwa kukosa wa kukikalia na ukizingatia hakuna mkutano mkuu ulioitishwa kwa muda wa zaidi ya miezi sita tangu alipojiuzulu wala kujibiwa kwa barua yake, ilikuwa sahihin kwake kutengua uamuzi wake na si kosa nla kikatiba kwa mujibu wa chama chao hicho cha Cuf.
Maajabu yakaanzia hapo; baadhi ya upinzani hasa wasiokuwa wanachama wa CUF, wakaibuka na kujifanya wasemaji wa CUF kwa kumshambulia tena Lipumba kuwa hafai kurejea kitini kwa hoja kwamba Lowassa angali Chadema.
Yaani baadhi ya wafuasi, washabiki, wanachama, wakereketwa, wafurukutwa, na hasa wa Chadema, walioshindwa kumburuza na kumsujudisha kwao Profesa Lipumba ili aisaliti dhamira yake ya kutomkubali Lowassa, leo wanataka kuwaburuza na kuwasujudisha wana CUF wamkane.
Pamoja na figisufigisu zote hizo lakini Lipumba akaibuka kidedea leo hii wanasingizia Dola, kwa lipi haswa, kwanini Dola hawakumtumia Lipumba wakati wa Bunge la katiba ambalo yeye Lipumba alichangia kwa kiasai nkikubwa kukwamisha mchakato wa huo na hapo ndipo ilipozaliwa Ukawa na waje kumtumia leo?
Mwisho niwahusie wanasiasa hawa kina mtatiro wasiwe wanaisingizie Dola katika migogoro yao hususani idara ya usalama kwa kuwa tu idara hiyo haina desturi ya kujibu shutuma zozote wanazoshutumiwa na wanasiasa hao.
Idara ya Usalama kwa kushirikia na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vimekuwa chachu kubwa ya Aamani na utulivu tulionao leo, ambao nchi kadhaa duniani zinatamani kuwa Tanzaniaa yetu, ifikie hatua sasa wanasiasa waache kabisa kuzihusisha na migogoro yao vyombovyetu vya ulinzi na usalama kwa ajili ya kutafuta umaarufu ambao usio na tija.
Hivi Mtatiro na wenzako mnatufanya wananchi watoto wadogo tusio na akili za timamu
Pumba tupuNimesoma ujumbe wa Julias Mtatairo ambao anasema kuwa Cuf wanapambana katika vita kali ya dhidi ya Lipumba, Dola, ACT pamoja na CCM. Tukiachana na vyama vya siasa alivyovitaja Mtatiro na Prof: Lipumba wanayehangaika naye nimeshangazwa kwa kuiingiza Dola katika mapambano yao.
Inakuwaje wanasiasa watanzania wanaposhindwa na kupatana baada kuparaganya huwa wanaisingia Dola, kama anavyotaka Mtatiro kuuaminisha umma kuwa ndio wanaowasababisha wao kugombana kwao?
inasikitisha sana mwanasiasa kijana kama kama Julias Mtatiro tena ni aibu kusema kuwa cuf wanapambana na Lipumba+Systeam+Ccm+ACThuku akitaka huruma ya wananchi ili waonekane kuwa wanaonewa katika mgogoro huo wakati ni uzembe wa Sharif Hamadi ndio uliwafikisha hapo.
Laiti kama Sharifu Hamadi asingeichelewesha barua ya kujiuzulu kwa Lipumba na kuitisha mkutano mkuu amabao ungekubali kujiuzulu kwake ndani ya muda muafaka haya yanayotukea leo yangetokea?
Mtatiro mara kwa kwa amekuwa akinukuliwa na vyombo vya habari au akiandika katika mitandao ya kijamii kuwa Lipumba alisutwa na dhamira yake na kuamua kujiuzulu, inakuwaje leo anataka kurudi Cuf, eti anatumiwa na systeam khaa?
Ni kweli kabisa kuwa Prof: Lipumba katika maelezo yake wakati alipokuwa akijiuzulu wadhifa wake, gwiji na galacha huyo wa uchumi alitanabahisha kwamba dhamira yake ilimsuta kuendelea kumuunga mkono Edward Lowassa aliyejiunga na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi-UKAWA ili kugombea urais wa nchi hii.
Msimamo wa Profesa Lipumba wa kutokuwa na imani juu ya Lowassa, aliyetoka CCM na kujiunga na CHADEMA ili agombee urais, haukuchipua tu mithili ya uyoga, bali ulianza siku nyingi tangu kipindi Lowassa angali CCM. Hivyo kudhihirisha maoni yake ilikuwa ni haki yake ya msingi na ya kikatiba. Na kuyasimamia hayo bila ya kutetereka ilikuwa ni ithibati ya ujasiri na kutoyumba kwake. Nani asiyemtaka mwenyekiti kama huyo? mwenye msimamo imara
Wanasiasa wengi, hasa wa upinzani, hivi sasa wanalalama kuwa demokrasia inaminywa hapa nchini kutokana na kuzuiliwa kwao kutoa maoni yao kupitia mikutano ya hadhara na makongamano juu ya vile wanavyoviamini na kuvisimamia.
Wanasiasa haohao, ndiyo waliyemshambulia na wanaoendelea kumshambulia mpinzani mwenzao Profesa Lipumba, kwa ‘kosa’ la kutoa maoni na misimamo yake juu ya kile alichokiamini.
Yaani walimtaka Profesa Lipumba aikalifishe nafsi yake kwa kutokuwa huru kutoa maoni, na misimamo yake ili tu wao wakidhi matlaba zao, halafu na wao wanaloloma kubinywa uhuru wao wa kutoa maoni yao mikutanoni.
Sasa kwa kuwa uchaguzi ulikwishamalizika, na kwamba Lowassa si mgombea tena, hivyo Profesa Lipumba akaonelea kwamba ili kuendelea kukiimarisha chama chake, ni vyema arejee kwenye kiti chake ambacho kwa yakini kabisa bado kina vumbi tangu alipokiacha kwa kukosa wa kukikalia na ukizingatia hakuna mkutano mkuu ulioitishwa kwa muda wa zaidi ya miezi sita tangu alipojiuzulu wala kujibiwa kwa barua yake, ilikuwa sahihin kwake kutengua uamuzi wake na si kosa nla kikatiba kwa mujibu wa chama chao hicho cha Cuf.
Maajabu yakaanzia hapo; baadhi ya upinzani hasa wasiokuwa wanachama wa CUF, wakaibuka na kujifanya wasemaji wa CUF kwa kumshambulia tena Lipumba kuwa hafai kurejea kitini kwa hoja kwamba Lowassa angali Chadema.
Yaani baadhi ya wafuasi, washabiki, wanachama, wakereketwa, wafurukutwa, na hasa wa Chadema, walioshindwa kumburuza na kumsujudisha kwao Profesa Lipumba ili aisaliti dhamira yake ya kutomkubali Lowassa, leo wanataka kuwaburuza na kuwasujudisha wana CUF wamkane.
Pamoja na figisufigisu zote hizo lakini Lipumba akaibuka kidedea leo hii wanasingizia Dola, kwa lipi haswa, kwanini Dola hawakumtumia Lipumba wakati wa Bunge la katiba ambalo yeye Lipumba alichangia kwa kiasai nkikubwa kukwamisha mchakato wa huo na hapo ndipo ilipozaliwa Ukawa na waje kumtumia leo?
Mwisho niwahusie wanasiasa hawa kina mtatiro wasiwe wanaisingizie Dola katika migogoro yao hususani idara ya usalama kwa kuwa tu idara hiyo haina desturi ya kujibu shutuma zozote wanazoshutumiwa na wanasiasa hao.
Idara ya Usalama kwa kushirikia na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vimekuwa chachu kubwa ya Aamani na utulivu tulionao leo, ambao nchi kadhaa duniani zinatamani kuwa Tanzaniaa yetu, ifikie hatua sasa wanasiasa waache kabisa kuzihusisha na migogoro yao vyombovyetu vya ulinzi na usalama kwa ajili ya kutafuta umaarufu ambao usio na tija.
Hivi Mtatiro na wenzako mnatufanya wananchi watoto wadogo tusio na akili za timamu
Kama kawaida yako mpiga ramli mahirizi yamebana mpaka unamwambia mcha mungu Mtatiro akaogee mfezaMtatiro kwanza akaogee mfeza ili atoe mkosi
Hapo tutamuelewa,
Kwamtu alie angalia vizuri video ya lipumba na wafuasi wake walivyo ingia Ofisi za cuf huwezi muamini mtatiro
Kwa maneno yake ya kipuuzi puuzi.
Lipumba anawafuasi na chama ni wafuasi
Aje atuambie wale wafuasi ni wa ccm, Act au!!?
Siasa za Akili ndogo mwisho ilikuwa 2015
Hahaha acha nicheke tu kama lipumba kawashinda akili tena CUF wameshikwa pabaya kinyama. Mzee akitumia vifungu vya barua yake,,lipumba karuka ukuta,kafanya uvamizi ..
Yaani vijana mnapinduliwa na mzee kama lipumba,mtaweza kufanya maandaamno ya kuchukua nchi kweli??
Kiswahili wanasoma darasa la ngapi jf maana wewe ndio mwl.mkuu.. Naomba nafasi shuleni mwako.Wakati kiswahili tu kina kushinda, eti SUBILI... MAALIFA. . hebu kaji funze kiswahili kwanza kabla huja mkosoa Le Proffeseri. .
Punguza jazba mwl.mkuu.Wakati kiswahili tu kina kushinda, eti SUBILI... MAALIFA. . hebu kaji funze kiswahili kwanza kabla huja mkosoa Le Proffeseri. .