Mtatiro: Hatua za Bunge, Lipumba na msimamo wangu! Na maajabu ya Bunge na serikali ya CCM

Mwisho wa haya ni timu ya Maalim na Mtatiro kwenda Chadema ....huu mgogoro unakuzwa kupitia CCM na Chadema ....CUF inasambaratika ....Mtatiro anajipa moyo lakini hii ngoma wameshapigwa ....
kaka mfano wako ni sawa na ngedere kumsusia shamba, CUF ni brand name kubwa - itakuwa kosa kubwa kumsusia mtu Brand name "CUF" mtu ambaye aliicha kwenye mazingira mazito mno kweye uchaguzi Mkuu.

Walifanikiwa kuisambaratisha NCCR -Mageuzi, wakajaribu CDM wakakwama; ila ngoja tuone huu mziki wa CUF utakuwaje - maana muvi ndiyo limefikia pahala patamu sana.
 
Tatizo lilianza mlipoolewa na chadema hatimaye kununuliwa na kada kindakindaki wa chama changu, jitu pesa laigwanani wa watu kaweka vyama vitatu vizito mfukoni kwake na prof. atahaha sana kuwanasua mpaka anaonekana chizi
 
Hakuna mwenye akili timamu anayeweza kuandika uandikacho unless kalewa. And you prove the same
Of course, kwasababu mimi niko huru sio mfungwa kama wewe uliyeshurutishwa usifie kila kitu cha Mbowe na ukosoe kila kitu cha Magu.
 
Of course, kwasababu mimi niko huru sio mfungwa kama wewe uliyeshurutishwa usifie kila kitu cha Mbowe na ukosoe kila kitu cha Magu.
Hebu weka quote ya makosa ya Mbowe ambayo mimi nimesifia. Au weka jambo la maana la Magu ambalo nimelipinga. Acha kupiga mayowe bila sababu!
 
Aitwe na bunge kama nani ndani ya serikali au chama chake? Au kila anayesema maneno yasiyopendwa na bunge aitwe bungeni kuhojiwa?. Kama unataka kusema Mtatiro ni kiongozi wa Cuf umepotoka kwasababu huyo spika wako hamtambui kama kiongozi wa Cuf ila anamtambua Lipumba, ndio maana ametekeleza amri ya Lipumba bila kumsubiria Mtatiro ambaye ni kiongozi wa kamati ya uongozi ya Cuf kikatiba ila kiserikali hawamtambui.
Na mimi nasema ni maamuzi ya kihayawani kabisa na yanapaswa kulaaniwa na watu wenye kutumia akili tu, nasubiria kuitwa na bunge kuhojiwa.
 
Lipumba amekua a lughing to many, ameshadharaulika na watu wengi tangu ajiuzulu kwa mbwembwe nyingi na kurudi kung'ang'ania kukalia kitu alichokikimbia mwenyewe kwa hiari yake
 
Hebu weka quote ya makosa ya Mbowe ambayo mimi nimesifia. Au weka jambo la maana la Magu ambalo nimelipinga. Acha kupiga mayowe bila sababu!
Dang! i knew it ... kama usharudi kisutu nenda kapete chai kwanza.
 
Seif's CUF is in Defence & Lipumba's CUF is in attack! A person in attack is the one who owns initiatives! He decides where to punch a hole in enemy's defence! What should one in defence do is to launch a preemptive attack!

If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
 
KOSA WALILOFANYA CUF WAKATI LIPUMBA KAAMUA kujitoa ni wao kutoliweka kiofisi zaidi kuogopa joto la uchaguzi. Ni sawa na Chadema walivyokaa kimya Slaa alipojichomoa. Hawajamlima barua rasmi ya kujiondoa kwake wakitegemea atarudi au kuogopa joto la uchaguzi kipindi kile. Kisheria Lipumba kaona mwanya huo ndio kajua akirudi hakuna wa kumzuia (kisheria) KWANI HAKUNA MAANDISHI YA KIOFISI NA YA KIUTARATIBU WA katiba yao ULIOHALALISHA KUTOKA MADARAKANI KWA LIPUMBA. Ndio hicho kinachowatesa sasa.
Ila ki-maadili lipumba anajua alishajitoa, kinachompa matumaini ni nguvu ya Msaada aliohadiwa kupata endapo akifanya haya anayofanya.
 
Yap, ila wale waliotaka kuanzisha operesheni fagia Buguruni MOVE YAO SIJUI KAMA WALIIPANGA VIZURI upande wa kuzuia mabomu ya reactions hizi
 
Sasa atachaguliwa na nani huyo lipumba wenu wakati wanachama wa cuf Tz bara wote hatumtaki msaliti na pandikizi lenu ccm?

Mkuu sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa toka nizaliwe.

Jikazeni mpambane na siasa zenu maana wote wasanii nyinyi na prof hakuna mwenye afadhali wote wasanii tu.

Mnahangaika sana ila lengo kuu ni ruzuku nyingine mbwembwe tu.
 
Yap, ila wale waliotaka kuanzisha operesheni fagia Buguruni MOVE YAO SIJUI KAMA WALIIPANGA VIZURI upande wa kuzuia mabomu ya reactions hizi
Wangeweza kubadili upepo na CUF ya Lipumba wangeanza kudefend hivyo kupoteza malengo na CUF ya Seif wakapanua wigo wa mapambano ie multiple lanes attack! Adui angechanganyikiwa na kuuawa at a peace meal!

If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…