Mtatiro: Hatua za Bunge, Lipumba na msimamo wangu! Na maajabu ya Bunge na serikali ya CCM

Sefu hana watu bara.Angekuwa nao angeshachukua ofisi ya buguruni hata kwa kumwaga damu
Mnaomuunga mkono sefu mnapoteza muda na nguvu zenu tu,subirini urais wa mezani anaowaahidi kila siku.
Sefu amekwama,suluhisho akubali kukaa na Lipumba,hakuna jisnsi yoyote atakayoweza kuibuka mshindi hapa
lipumbavu anao wanachama zanzibar?
 
Kuna makosa yalifanywa na cuf, badala ya kumpuuza lipumba siku ile alipofanya upuuzi ule siku hiyo yangepelwkwa maombi mahakamani chini ya hatibya dharura kupiga upuuzi ule na order ya mahakama ingekuwa ishatoka, wamekimbiza mchakato ili hata amri ya mahakama ikitoka hata kesho haina maana tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili mbona liko wazi,kesi hii ilifunguliwa zamani iko mahakamani,kwa vile ni mpango maalumu wa kuia cuf,hii kesi haija sikilizwa.
 
Ugomvi kati ya Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa Chama haunaga mshindi milele. Mshindi ni chama kufa. Ni sawa na Ubongo upambane na moyo.

Mwenyekiti ni mhimili wa Chama chochote. Wajibu wake wa kwanza ni kuhakikisha uwepo wake kama ilivyo kwa Rais wa nchi. Na huko ndio kuilinda katiba kama wajibu namba moja. Existence .

Katibu Mkuu kumpinga Mwenyekiti wake ni utovu wa nidhamu kwa Mwenyekiti na ni sawa na Uhaini. Kuamini kuwa siku moja Katibu Mkuu atamshinda Mwenyekiti wake katika hali ya mgogoro ni uchanga wa kisiasa na kudharau uwezo na mamlaka ya Mwenyekiti.

Kwa Vijana wenye ndoto CUF wanapaswa ama kuhama na kuachana na CUF au kuwaomba Mwenyekiti na Katibu wayamalize. Ila kama ni kusubiri mshindi nayo ni ndoto nyingine. It will never happen.

Mwenyekiti ndio Chama hata kama sio maarufu. Usione Simba amenyeshewa ukadhani Mbwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endeleeni kujipa moyo...

Na ni lini Zitto ubunge wake umewahi kulindwa na mahakam!? Umeanza kufuatilia siasa baada ya Lowasa kujiunha chadema!?

Sent using Jamii Forums mobile app

CHADEMA ilipo mvua uanachama Zitto
Akapoteza sifa za kuwa Mbunge
Yy akakimbilia Mahakamani na wakamlinda
TANZANIA ONE: ZITTO KABWE AVULIWA UANACHAMA CHADEMA
Alipo enda Mahakamani kupinga CHADEMA kumvua uanachama hivyo kupoteza ubunge wake,Mahakama ilisema haya!
MICHUZI BLOG: Mahakama kuu kanda ya dar es salaam yaamuru chadema kutojadili uanachama wa zitto kabwe mpaka kesi yake ya msingi itakaposikilizwa tena
Jemedal_bin_chichi una la ziada nizidi kukufundisha?
 
Kwani akina Makonda waliitwa km nani? Tukana au kashfu bunge leo uone km hujaitwa. Hujui mipaka ya Bunge....ngoja wengine waeleweshe zaid

sweeper
Humjui Makaonda ni nani unajitoa akili tu kwa kuuliza maswali? Makonda kama humjui ni kiongozi wa serikali ya mkoa wa Dar ambaye anawajibika kwenye tume ya maadili ya viongozi wa umma, je Mtatiro ni nani? Na wangapi wamelisema bunge vibaya tena Matusi lakini hawajaitwa na hilo bunge? Ukitukana kama raia wa kawaida subiria polisi na sio bunge.
Sio vibaya ukijielimisha bunge linamsimamia nani na linaweza kumuadhibu nani kwa mujibu wa kanuni zake
 
Wanabodi,<br />Salaam;<br /><br />Al-Sahhaf majina yake kamili ni Mohammed Saeed Al-Sahaaf, akiwa amezaliwa 30 July 1940 Hilla, Iraq .<br /><br />Kwa wenye kumbukumbu nzuri bwana huyu alikuwa ni Waziri wa Habari wa Serikali ya Saddaam Hussein wakati majeshi ya Marekani yakiivamia Iraq mwaka 2003.<br /><br />Kiitifaki Bwana Al-Sahhaaf hakuwa tu Waziri wa habari bali pia Mwanadiplomasia na Msemaji mkuu wa Serikali ya Saddam Hussein. <br /><br />Historia ya dunia haitomsahau kwa namna alivyoripoti habari katika kipindi chote cha uvamizi wa Iraq mpaka kuangushwa kwa Saddaam.<br /><br />Kabla ya uvamizi bwana Al-Sahaaf alisikika kila mara akisisitiza kuwa nchi yake ina silaha ambazo si tu zinaweza kuwaangamiza wavamizi wakiisogelea Iraq bali pia kuangamiza nchi zao huko walikotoka zikitumwa moja kwa moja kutokea Baghdad na kuwa hakuna adui atakanyaga ardhi ya Iraq.<br /><br />Haukupita mda majeshi ya Marekani yakaweza kuingia na kukanyaga ardhi ya Iraq. Walipokuwa wameingia Al-Sahaaf akasema waliongia wote wameuawa.<br /><br />Akiwa amesema hivyo siku chache baadae majeshi ya Marekani yakachukua karibia eneo lote la Magharibi na kufika eneo liitwalo ATUWAYHAH. <br /><br />Baada ya kufika eneo hilo Al-Sahaaf alijitokeza tena akisema sasa wanajeshi wa Marekani wanajinyonga na kujiua kwa msongo wa mawazo na kipigo wanachopata.<br /><br />Haikupita mda tokea Al-Sahhaf aseme hivyo majeshi ya Marekani yakavamia daraja la JAMHURIYYA na hivyo kuingia mji mkuu Baghdad. Mara moja Al-Sahhaf akajitokeza na kusema wanajeshi wa Marekani sasa wanajisalimisha wenyewe kwa Serikali ya Iraq na wengine wanakimbia hovyo.<br /><br />Hayakupita masaa tangu aseme hivyo,uwanja wa ndege wa Baghdad ukavamiwa wote na kuwa chini ya Majeshi ya Marekani. Bwana Al-Sahhaf mara moja akaja na kusema kuwa majeshi yote ya Marekani na Tank zao wameangamizwa vibaya sana hapo uwanja wa ndege na hakuna hata sisimizi anapumua eneo hilo.<br /><br />Siku aliyosema hivyo, jioni yake Ikulu ya Saddaam (al-qaral- umhuriy) ikavamiwa na Saddaam akakimbia. Al-Sahhaf akatokea Aljazeera asubuh yake akisema atakayekaribia Ikulu yao ndo utakuwa mwisho wake.<br /><br />Mpaka tarehe 13 Dec. 2003 Saddaam anakamatwa , Al-Sahhaf alipoulizwa akiwa naye amekimbilia Dubai akasema Saddam hajakamatwa yuko mahali salama na wanajiandaa kwa shambulizi kubwa la mwisho.<br /><br />1.LIPUMBA : narudi Cuf sikujiuzulu. <br />MTATIRO : hawezi kurudi wanachama mtulie. <br /><br />LIPUMBA AKARUDI.<br /><br />2. LIPUMBA ; nachukua ofisi za cuf buguruni. <br />MTATIRO ; hicho kitu hakiwezekani nyie tulia mtaona. <br />OFISI ZIKACHUKULIWA.<br /><br />3. LIPUMBA : nafuta na kusajili baraza jipya la wadhamini. <br />MTATIRO: bwana yule mwendawazimu jambo hilo halitotokea. <br />BARAZA JIPYA LIKASAJILIWA.<br /><br />4. LIPUMBA ; nawafukuza wabunge wa viti maalum. <br />MTATIRO; amechanganyikiwa mpuuzeni. WAMEFUKUZWA, BUNGE LIMERIDHIA NA KAZI INAENDELEA KWA MSAJILI.<br /><br />Hivi kama bado unaweza kumwita mtu aliyekudefeat ktk hatua zote hizi mchanganyikiwaji wewe uliyekuwa defeated twakuitaje. Cuf ya Maalim inakufa na kupoteza uhalali ati bado Mtatiro hajaliona hilo.<br /><br />[HASHTAG]#Naiona[/HASHTAG] Baghdad ikianguka kabisa, na Saddam akikamatwa, na Al- sahhaf (MTATIRO) akikimbilia Dubai(chadema), huku akizidi kuwaambia wafuasi wao kuwa watarudi wanajiandaa kwa shambulizi la mwisho.<br /><br />TIME IS ALMOST ABOUT TO TELL.<br /><br /><br />Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Au sababu walikuwa wabunge wa viti maalum?
2. Au sheria na taratibu zimebadilika?
Kwa kua waliotimuliwa walikua timu Maalim Seif na wkt huo chama cha Ndungai kilikua kinafanya project ya pamoja na Lipumba so kulikua hakuna ugumu kuwachinjia baharini wabunge wa team Maalim.
 
Back
Top Bottom