mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 18,942
- 37,008
Usikute nae kaonja mkojo wa lisu huyo! OvyooooooKwahiyo akihojiwa na Bunge wewe utapata nini? Au utaongezewa mshahara? Familia yako je italishwa na bunge?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute nae kaonja mkojo wa lisu huyo! OvyooooooKwahiyo akihojiwa na Bunge wewe utapata nini? Au utaongezewa mshahara? Familia yako je italishwa na bunge?
kaka mfano wako ni sawa na ngedere kumsusia shamba, CUF ni brand name kubwa - itakuwa kosa kubwa kumsusia mtu Brand name "CUF" mtu ambaye aliicha kwenye mazingira mazito mno kweye uchaguzi Mkuu.Mwisho wa haya ni timu ya Maalim na Mtatiro kwenda Chadema ....huu mgogoro unakuzwa kupitia CCM na Chadema ....CUF inasambaratika ....Mtatiro anajipa moyo lakini hii ngoma wameshapigwa ....
Amekurupuka amuwahi JoseEverest, ameshatimiza adhma yakeUmesoma au umekimbilia kucomment
Nyie akina mtatiro endeleeni kushangaa tuu na mtashangaa hadi kiama
usitembee juu ya ardhi kwa majivuno
Hakuna mwenye akili timamu anayeweza kuandika uandikacho unless kalewa. And you prove the samewewe mlevi wa siasa huna lolote unadhani kila mtu amelwa matapu tapu ya mbowe kama wewe. kubwa jinga wewe
Of course, kwasababu mimi niko huru sio mfungwa kama wewe uliyeshurutishwa usifie kila kitu cha Mbowe na ukosoe kila kitu cha Magu.Hakuna mwenye akili timamu anayeweza kuandika uandikacho unless kalewa. And you prove the same
Hebu weka quote ya makosa ya Mbowe ambayo mimi nimesifia. Au weka jambo la maana la Magu ambalo nimelipinga. Acha kupiga mayowe bila sababu!Of course, kwasababu mimi niko huru sio mfungwa kama wewe uliyeshurutishwa usifie kila kitu cha Mbowe na ukosoe kila kitu cha Magu.
Dang! i knew it ... kama usharudi kisutu nenda kapete chai kwanza.Hebu weka quote ya makosa ya Mbowe ambayo mimi nimesifia. Au weka jambo la maana la Magu ambalo nimelipinga. Acha kupiga mayowe bila sababu!
Seif's CUF is in Defence & Lipumba's CUF is in attack! A person in attack is the one who owns initiatives! He decides where to punch a hole in enemy's defence! What should one in defence do is to launch a preemptive attack!HATUA ZA BUNGE, LIPUMBA NA MSIMAMO WANGU!
[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J,
[HASHTAG]#NewYork[/HASHTAG].
1. Juzi Jumatatu Lipumba na Sakaya walimuandikia Spika wa Bunge kumjulisha kuwa "Baraza Kuu la CUF" (feki) limewafukuza uanachama Wabunge 8 wa Viti Maalum wa CUF. (Spika alishaandikiwa na Katibu Mkuu kumjulisha kuwa Baraza Kuu halali la CUF ni lile lililochaguliwa mwaka 2014 na muda wake utaisha mwaka 2019 na Baraza hilo halali ndilo lililomfukuza Lipumba).
2. Jana, Jumanne, Ofisi ya Bunge ilitoa taarifa kwa umma kuujulisha kuwa imepokea maelekezo kutoka kwa Sakaya na Lipumba kuwa wabunge hao 8 si wanachama na Ofisi hiyo ikaeleza kuwa bado inatafakari hatua za mwisho za kuchukua.
3. Leo Jumatano, Ofisi ya Bunge imetangaza uamuzi wake, kwamba inakubaliana na maelekezo ya Lipumba na Sakaya na kuwa imewavua wabunge hao 8 ubunge wao wa Viti Maalum, na kuwa imeiandikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuijulisha kujaza nafasi hizo zilizo wazi.
_________________________________________
Nataka kuwaeleza wanachama na watanzania wote, kwamba viongozi wa chama wanakutana kuendelea kuchukua hatua.
Tunajua kuwa Vyombo vya Serikali hivi sasa vinafanya kazi kubwa kuhakikisha kuwa aidha CUF inamkubali "MSALITI" Lipumba kuwa Mwenyekiti wake, au CUF isambaratike. Na suluhisho la hali hii haliwezi kuwa kukaa chini na MSALITI.
Mnapopambana na WASALITI WALIOKUBUHU na wako ndani ya nyumba yenu, vita yake siyo ndogo. Lakini mimi binafsi ni muumini mkubwa wa HAKI na UKWELI. Naamini kuwa CUF itavuka misukosuko hii.
Kwa jicho moja wapo watu wanachekelea na kudhani kadhia hii ni ya CUF tu, mimi natizama hali hii kama Mapambano ya Dola ya kuhakikisha vyama mbadala vinaongozwa na wasaliti ili Dola iendelee kuwatumia kuzamisha demokrasia na ushindani wa kisiasa nchini.
Dola ikifanikiwa kuisambaratisha CUF, vyama vingine vya upinzani havitakuwa salama, taasisi zingine za kiraia hazitakuwa salama pia. Anayeyatizama mapambano haya kama vita ya ndani ya CUF hajaisoma dunia - haya ni mapambano makubwa, dhidi ya demokrasia ya Tanzania.
Mimi ni mwanademokrasia imara na sitayumbishwa na WASALITI. Kumkubali Lipumba na genge lake itakuwa na maana ya kuiua CUF moja kwa moja Tanzania Bara, maana alipojaribu kukimbia mwaka 2015, ndipo CUF iliibuka na kuwa chama imara mara 10 Tanzania bara. Na kurudishwa kwake kwa nguvu kunakofanywa na dola ni mkakati wa kuimaliza CUF na suluhisho lake haliwezi kuwa CUF kumtambua Lipumba.
Hata DOLA ikifanya nini, LIPUMBA ameshadharaulika na hawezi kuisaidia tena dola hii yenye upofu. Katibu Mkuu wa Chama, Mhe. Seif Sharif Hamad na viongozi wa chama wanaendelea na hatua mbalimbali muhimu na mtajulishwa
Vita imeshapanuka, sasa ni LIPUMBA, OFISI YA MSAJILI WA VYAMA, RITA, BUNGE, NEC, IKULU, USALAMA WA TAIFA na CCM. Kundi lote hilo linaamini kuwa bila kumrudisha Lipumba halitaweza kuidhibiti CUF. Sisi viongozi tuko imara sana na tunaamini kuwa HAKI huweza kucheleweshwa tu!
We shall OVERCOME this! More Stable! And more Vibrant!
[HASHTAG]#JSM[/HASHTAG], 26 Julai 2017.
KOSA WALILOFANYA CUF WAKATI LIPUMBA KAAMUA kujitoa ni wao kutoliweka kiofisi zaidi kuogopa joto la uchaguzi. Ni sawa na Chadema walivyokaa kimya Slaa alipojichomoa. Hawajamlima barua rasmi ya kujiondoa kwake wakitegemea atarudi au kuogopa joto la uchaguzi kipindi kile. Kisheria Lipumba kaona mwanya huo ndio kajua akirudi hakuna wa kumzuia (kisheria) KWANI HAKUNA MAANDISHI YA KIOFISI NA YA KIUTARATIBU WA katiba yao ULIOHALALISHA KUTOKA MADARAKANI KWA LIPUMBA. Ndio hicho kinachowatesa sasa.Wakuu mnakumbuka mahakama ilichukua juma moja kuondoa utata wa amri ya TRUMP Kwamba ni halali au sio halali. Jibu likawa ni HALALI na watu wakaendelea kuingia USA.
Sasa huku TZ, kuna utata, na kesi ipo mahakamani: LIPUMBA ni mwanachama/mwenyekiti halali au sio halali?
Sasa umekatika mwaka na nionavyo mimi uamuzi utatolewa 2021. Sababu ni nini?
je, athari za kuchelewesha kuondolewa utata ni zipi? je, mahakama zetu zipo huru kweli?
Yap, ila wale waliotaka kuanzisha operesheni fagia Buguruni MOVE YAO SIJUI KAMA WALIIPANGA VIZURI upande wa kuzuia mabomu ya reactions hiziSeif's CUF is in Defence & Lipumba's CUF is in attack! A person in attack is the one who owns initiatives! He decides where to punch a hole in enemy's defence! What should one in defence do is to launch a preemptive attack!
If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
Sasa atachaguliwa na nani huyo lipumba wenu wakati wanachama wa cuf Tz bara wote hatumtaki msaliti na pandikizi lenu ccm?
Wangeweza kubadili upepo na CUF ya Lipumba wangeanza kudefend hivyo kupoteza malengo na CUF ya Seif wakapanua wigo wa mapambano ie multiple lanes attack! Adui angechanganyikiwa na kuuawa at a peace meal!Yap, ila wale waliotaka kuanzisha operesheni fagia Buguruni MOVE YAO SIJUI KAMA WALIIPANGA VIZURI upande wa kuzuia mabomu ya reactions hizi