Mtatiro ameokoa jahazi la tcd leo

marmoboy

Member
Mar 22, 2011
52
22
Mjadala wa wazi wa katiba wa TCD uliokuwa uanze leo saa nne asubuhi na kurushwa live na ITV ulikwama.
Washiriki wa mjadala walipofika walikuta lundo la polisi waliokuwa na maagizo ya kukataza kongamano hilo na mageti yote ya kuingia karimjee HALL yalizingirwa na polisi waliovaa sare na askari kanzu.
Majira ya saa 2.00 asubuh alifika bwana kipeja ambaye ni ofisa wa programu za TCD akiambana na mkurugenzi wa kituo hicho bwana Loya,
Matumaini ya washiriki yalianza kurudi baada ya ujio wao lakini yalitoweka pale walipochimbwa mkwara na OCD aliyekuwa akiongoza oparesheni komesha mjadala. OCD aliwapa barua kutoka kwa kova ikiwa na sababu za zuio la mjadala huo.
1. Kuwa habari za kiintelijensia zinaonesha kutakuwa na uvunjifu wa amani.
2. Kuwa TCD walipeleka taarifa polisi with shorter notice.
3. Ujio wa rais wa somalia tanzania.
4. Kuwa suala la katiba limeshamalizwa na bunge.
Baada ya kupewa barua na maagizo hayo watendaji hao wa TCD walianza kunyong'onyea.
Akatokea kamanda benson kigaila akakuta mambo magumu, akaingia kwenye gari na kuondoka na wadau wenzake.
Ghafla akatokea FORMER UDSM PM and FORMER TAHLISO SECRETARY (Mtatiro) ambaye kwa sasa ni NAIBU KATIBU MKUU CUF.
Mtatiro alianza kwa mkwara mzito na kuwataka washiriki wote wasitawanyike, askari kanzu walianza kumzingira lakini naye alikuwa na walinzi kadhaa, zikatokea purukushani kati ya walimzi hao na askari kanzu baadaye zikatulia.
Baadaye mtatiro akatoa order magari yafunge barabara - ikafungwa na washiriki wa mjadala.
Baadaye akampigia kova na IGP wakamuahidi kuwa suala hilo linashughulikiwa lakini wakamuomba awahamasishe washiriki waondoke na kuwa mjadala ufanyike jumamosi ijayo mtatiro akakataa,
That guy is very strategic kwani alipowapigia simu wakubwa aliweka loud speaker na washiriki walisikia nadhani ile ilizidi kuwachanganya IGP na wenzie.
Msimamo wa mtatiro ukawa tofauti na ule wa watendaji wa TCD ambao walishawashawishi washiriki kuondoka baada ya mkwara wa polisi.
Bahati nzuri washiriki wakamsikiliza zaidi mtatiro,wakafuata steps zake.
Baadaye askari kanzu wakaanza kumzonga mtatiro kuwa eti yeye ndio anahatarisha amani kwa kuwa TCD wamekubali mjadala uahirishwe, mtatiro akawaruka mita mia na bila kumumunya maneno akawaeleza kuwa PATACHIMBIKA wakimtishia, wakati mtatiro alisikika akiwapigia wahariri wa vyombo vya habari - baada ya nusu saa TV na magazeti zikasheheni, ngoma ikaanza kuwa hatari kama movie vile.
Ghafla akaingia yule Prof Lipumba - mwenyekiti wa TCD.
Lipumba akafika na msimamo mkali kuliko OSAMA, mkurugenzi wa TCD akafokewa kwa nini hakuwa na msimamo, Lipumba akawa ngangari
kinoma ngoma ndio ikawa mbichi zaidi pale ambapo lipumba aliwasiliana na kova na mwema kwa simu, kova alipewa maneno mazito mno na lipumba akamwambia kama mjadala haufanyiki atajua kama kova yuko juu ya katiba,
Hoja kubwa ya lipumba ilikuwa kwamba mijadala ya ndani ya ukumbi haitolewi taarifa polisi na kuwa polisi hawana mandate ya kuzuia au kuingilia kwa vyovyote kongamano hilo.
Baada ya kova akapandiwa igp mwema hewani, hoja za lipumba zikamshinda igp na mwisho kova akapigiwa simu na igp na kuamrishwa kufungia mageti na kuondoa polisi ili kongamano liendelee.
Majira ya saa 5 na dakika kadhaa kova akampigia mtatiro na kumjulisha kuwa igp ameruhusu mjadala uendelee.
Viongozi wengine wa nccr na chadema na cuf wakawa wameongezeka kongamano likaanza muda huohuo.
Baadaye ITV wakafika majira ya saa
6.30 wakafunga mitambo yao na kurusha LIVE mjadala kuanzia saa 7 mchana.
Washiriki walikuwa kama mia mbili hivi na mgeni rasmi alikuwa jaji warioba.
Wachangiaji wa jumla kutoka katika vyama walikuwa;
CDM - BENSON(alirudi baadaye),
Cuf - Mtatiro,
Nccr - Dr mvungi,
LHRC na taasisi zingine walikuwepo.
Zomea zomea ilitaka kuanza pale mabapo mchngaji temba (kada wa ccm) alipotaka kujivua magamba hadharani - lipumba akamnusuru.
Kwa faida ya wale wasiofahamu TCD - TANZANIA CENTER FOR DEMOCRACY(KITUO CHA DEMOKRASIA TANZANIA) - Ni taasisi inayoundwa na vyama vyenye wabunge yaani CCM, CDM, CUF,NCCR,TLP na UDP.
Taarifa zaidi zipateni kupitia TV leo jioni na hasa MLIMANI TV waliokuwepo tangu asubuhi sana.
Nawasilisha.


,



























.
 
Still long way to go..............


50 yrs of independence but i dare to say "Not Yet Uhuru"

Eti bunge limefunga mjadala wa katiba?? Au mimi nakosea maana nakumbuka kama nimesikia urejeshwe kwa wananchi ujadiliwe tena

Au kwa serikali ya CCM wananchi ni wakina nani hao? Ni wale wa kule Ikungulyabashashi na Kinyanambwa B peke yao na sio wana-UDASA, TCD, CDM, CUF and the likes?


Hakuna serikali iliyochoka kama iliyowachoka wananchi wake..............na hizi intelijensia zao kuna siku tutazigeuza INTELIJINSIA
 
Kumbe ndo sababu ya kukosekana umeme ktk maeneo mengi ya Dar kwa muda huo!! Duh serikali inaenda puta sasa. Hakyamungu!
 
Dah.hawa mbwa hawa........yaani kila sehemu wanataka kujifanya bila wao mambo hayaendi,haya sasa mjadala imefanyika,kikowapi KOVA.......muangalie kwanza.....
 
Na laiti kaa pangekuwa na UMIMI hapo au kuitana yale majina tuliyozoea...kusingekuwa na mkutano!! aka kongamano sijui!!
ni baadhi ya mfano tu.. bali kuna safari ndefu ya kwenda!
 
We marmoboy, hiyo title yako irekebishe, Mtatiro hajasaidia chochote ama we ndio mke wake
Mjadala wa wazi wa katiba wa TCD uliokuwa uanze leo saa nne asubuhi na kurushwa live na ITV ulikwama.
Washiriki wa mjadala walipofika walikuta lundo la polisi waliokuwa na maagizo ya kukataza kongamano hilo na mageti yote ya kuingia karimjee HALL yalizingirwa na polisi waliovaa sare na askari kanzu.
Majira ya saa 2.00 asubuh alifika bwana kipeja ambaye ni ofisa wa programu za TCD akiambana na mkurugenzi wa kituo hicho bwana Loya,
Matumaini ya washiriki yalianza kurudi baada ya ujio wao lakini yalitoweka pale walipochimbwa mkwara na OCD aliyekuwa akiongoza oparesheni komesha mjadala. OCD aliwapa barua kutoka kwa kova ikiwa na sababu za zuio la mjadala huo.
1. Kuwa habari za kiintelijensia zinaonesha kutakuwa na uvunjifu wa amani.
2. Kuwa TCD walipeleka taarifa polisi with shorter notice.
3. Ujio wa rais wa somalia tanzania.
4. Kuwa suala la katiba limeshamalizwa na bunge.
Baada ya kupewa barua na maagizo hayo watendaji hao wa TCD walianza kunyong'onyea.
Akatokea kamanda benson kigaila akakuta mambo magumu, akaingia kwenye gari na kuondoka na wadau wenzake.
Ghafla akatokea FORMER UDSM PM and FORMER TAHLISO SECRETARY (Mtatiro) ambaye kwa sasa ni NAIBU KATIBU MKUU CUF.
Mtatiro alianza kwa mkwara mzito na kuwataka washiriki wote wasitawanyike, askari kanzu walianza kumzingira lakini naye alikuwa na walinzi kadhaa, zikatokea purukushani kati ya walimzi hao na askari kanzu baadaye zikatulia.
Baadaye mtatiro akatoa order magari yafunge barabara - ikafungwa na washiriki wa mjadala.
Baadaye akampigia kova na IGP wakamuahidi kuwa suala hilo linashughulikiwa lakini wakamuomba awahamasishe washiriki waondoke na kuwa mjadala ufanyike jumamosi ijayo mtatiro akakataa,
That guy is very strategic kwani alipowapigia simu wakubwa aliweka loud speaker na washiriki walisikia nadhani ile ilizidi kuwachanganya IGP na wenzie.
Msimamo wa mtatiro ukawa tofauti na ule wa watendaji wa TCD ambao walishawashawishi washiriki kuondoka baada ya mkwara wa polisi.
Bahati nzuri washiriki wakamsikiliza zaidi mtatiro,wakafuata steps zake.
Baadaye askari kanzu wakaanza kumzonga mtatiro kuwa eti yeye ndio anahatarisha amani kwa kuwa TCD wamekubali mjadala uahirishwe, mtatiro akawaruka mita mia na bila kumumunya maneno akawaeleza kuwa PATACHIMBIKA wakimtishia, wakati mtatiro alisikika akiwapigia wahariri wa vyombo vya habari - baada ya nusu saa TV na magazeti zikasheheni, ngoma ikaanza kuwa hatari kama movie vile.
Ghafla akaingia yule Prof Lipumba - mwenyekiti wa TCD.
Lipumba akafika na msimamo mkali kuliko OSAMA, mkurugenzi wa TCD akafokewa kwa nini hakuwa na msimamo, Lipumba akawa ngangari
kinoma ngoma ndio ikawa mbichi zaidi pale ambapo lipumba aliwasiliana na kova na mwema kwa simu, kova alipewa maneno mazito mno na lipumba akamwambia kama mjadala haufanyiki atajua kama kova yuko juu ya katiba,
Hoja kubwa ya lipumba ilikuwa kwamba mijadala ya ndani ya ukumbi haitolewi taarifa polisi na kuwa polisi hawana mandate ya kuzuia au kuingilia kwa vyovyote kongamano hilo.
Baada ya kova akapandiwa igp mwema hewani, hoja za lipumba zikamshinda igp na mwisho kova akapigiwa simu na igp na kuamrishwa kufungia mageti na kuondoa polisi ili kongamano liendelee.
Majira ya saa 5 na dakika kadhaa kova akampigia mtatiro na kumjulisha kuwa igp ameruhusu mjadala uendelee.
Viongozi wengine wa nccr na chadema na cuf wakawa wameongezeka kongamano likaanza muda huohuo.
Baadaye ITV wakafika majira ya saa
6.30 wakafunga mitambo yao na kurusha LIVE mjadala kuanzia saa 7 mchana.
Washiriki walikuwa kama mia mbili hivi na mgeni rasmi alikuwa jaji warioba.
Wachangiaji wa jumla kutoka katika vyama walikuwa;
CDM - BENSON(alirudi baadaye),
Cuf - Mtatiro,
Nccr - Dr mvungi,
LHRC na taasisi zingine walikuwepo.
Zomea zomea ilitaka kuanza pale mabapo mchngaji temba (kada wa ccm) alipotaka kujivua magamba hadharani - lipumba akamnusuru.
Kwa faida ya wale wasiofahamu TCD - TANZANIA CENTER FOR DEMOCRACY(KITUO CHA DEMOKRASIA TANZANIA) - Ni taasisi inayoundwa na vyama vyenye wabunge yaani CCM, CDM, CUF,NCCR,TLP na UDP.
Taarifa zaidi zipateni kupitia TV leo jioni na hasa MLIMANI TV waliokuwepo tangu asubuhi sana.
Nawasilisha.


,



























.
 
Mpaka kieleweke tunashukuru kwa taarifa mdau....

Mjadala wa wazi wa katiba wa TCD uliokuwa uanze leo saa nne asubuhi na kurushwa live na ITV ulikwama.
Washiriki wa mjadala walipofika walikuta lundo la polisi waliokuwa na maagizo ya kukataza kongamano hilo na mageti yote ya kuingia karimjee HALL yalizingirwa na polisi waliovaa sare na askari kanzu.
Majira ya saa 2.00 asubuh alifika bwana kipeja ambaye ni ofisa wa programu za TCD akiambana na mkurugenzi wa kituo hicho bwana Loya,
Matumaini ya washiriki yalianza kurudi baada ya ujio wao lakini yalitoweka pale walipochimbwa mkwara na OCD aliyekuwa akiongoza oparesheni komesha mjadala. OCD aliwapa barua kutoka kwa kova ikiwa na sababu za zuio la mjadala huo.
1. Kuwa habari za kiintelijensia zinaonesha kutakuwa na uvunjifu wa amani.
2. Kuwa TCD walipeleka taarifa polisi with shorter notice.
3. Ujio wa rais wa somalia tanzania.
4. Kuwa suala la katiba limeshamalizwa na bunge.
Baada ya kupewa barua na maagizo hayo watendaji hao wa TCD walianza kunyong'onyea.
Akatokea kamanda benson kigaila akakuta mambo magumu, akaingia kwenye gari na kuondoka na wadau wenzake.
Ghafla akatokea FORMER UDSM PM and FORMER TAHLISO SECRETARY (Mtatiro) ambaye kwa sasa ni NAIBU KATIBU MKUU CUF.
Mtatiro alianza kwa mkwara mzito na kuwataka washiriki wote wasitawanyike, askari kanzu walianza kumzingira lakini naye alikuwa na walinzi kadhaa, zikatokea purukushani kati ya walimzi hao na askari kanzu baadaye zikatulia.
Baadaye mtatiro akatoa order magari yafunge barabara - ikafungwa na washiriki wa mjadala.
Baadaye akampigia kova na IGP wakamuahidi kuwa suala hilo linashughulikiwa lakini wakamuomba awahamasishe washiriki waondoke na kuwa mjadala ufanyike jumamosi ijayo mtatiro akakataa,
That guy is very strategic kwani alipowapigia simu wakubwa aliweka loud speaker na washiriki walisikia nadhani ile ilizidi kuwachanganya IGP na wenzie.
Msimamo wa mtatiro ukawa tofauti na ule wa watendaji wa TCD ambao walishawashawishi washiriki kuondoka baada ya mkwara wa polisi.
Bahati nzuri washiriki wakamsikiliza zaidi mtatiro,wakafuata steps zake.
Baadaye askari kanzu wakaanza kumzonga mtatiro kuwa eti yeye ndio anahatarisha amani kwa kuwa TCD wamekubali mjadala uahirishwe, mtatiro akawaruka mita mia na bila kumumunya maneno akawaeleza kuwa PATACHIMBIKA wakimtishia, wakati mtatiro alisikika akiwapigia wahariri wa vyombo vya habari - baada ya nusu saa TV na magazeti zikasheheni, ngoma ikaanza kuwa hatari kama movie vile.
Ghafla akaingia yule Prof Lipumba - mwenyekiti wa TCD.
Lipumba akafika na msimamo mkali kuliko OSAMA, mkurugenzi wa TCD akafokewa kwa nini hakuwa na msimamo, Lipumba akawa ngangari
kinoma ngoma ndio ikawa mbichi zaidi pale ambapo lipumba aliwasiliana na kova na mwema kwa simu, kova alipewa maneno mazito mno na lipumba akamwambia kama mjadala haufanyiki atajua kama kova yuko juu ya katiba,
Hoja kubwa ya lipumba ilikuwa kwamba mijadala ya ndani ya ukumbi haitolewi taarifa polisi na kuwa polisi hawana mandate ya kuzuia au kuingilia kwa vyovyote kongamano hilo.
Baada ya kova akapandiwa igp mwema hewani, hoja za lipumba zikamshinda igp na mwisho kova akapigiwa simu na igp na kuamrishwa kufungia mageti na kuondoa polisi ili kongamano liendelee.
Majira ya saa 5 na dakika kadhaa kova akampigia mtatiro na kumjulisha kuwa igp ameruhusu mjadala uendelee.
Viongozi wengine wa nccr na chadema na cuf wakawa wameongezeka kongamano likaanza muda huohuo.
Baadaye ITV wakafika majira ya saa
6.30 wakafunga mitambo yao na kurusha LIVE mjadala kuanzia saa 7 mchana.
Washiriki walikuwa kama mia mbili hivi na mgeni rasmi alikuwa jaji warioba.
Wachangiaji wa jumla kutoka katika vyama walikuwa;
CDM - BENSON(alirudi baadaye),
Cuf - Mtatiro,
Nccr - Dr mvungi,
LHRC na taasisi zingine walikuwepo.
Zomea zomea ilitaka kuanza pale mabapo mchngaji temba (kada wa ccm) alipotaka kujivua magamba hadharani - lipumba akamnusuru.
Kwa faida ya wale wasiofahamu TCD - TANZANIA CENTER FOR DEMOCRACY(KITUO CHA DEMOKRASIA TANZANIA) - Ni taasisi inayoundwa na vyama vyenye wabunge yaani CCM, CDM, CUF,NCCR,TLP na UDP.
Taarifa zaidi zipateni kupitia TV leo jioni na hasa MLIMANI TV waliokuwepo tangu asubuhi sana.
Nawasilisha.


,



























.
 
intelejesia hadi kwenye makongamano hihatali jee? Wanashindwaje? Kwamafisadi wanaona tuu maandamano yaamani na makongamano mumezeekavibaya
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom