Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
Zipo vizuri kwenye nini?dah hongera zake, kumbe ndo maana BM coach zikovzr. yaani zinamuacha mbaali sana Abood
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo vizuri kwenye nini?dah hongera zake, kumbe ndo maana BM coach zikovzr. yaani zinamuacha mbaali sana Abood
Habarini wakuu
Watanzania wanaendelea kubuni fursa za kiviwanda baada ya mtanzania mwenzetu Blasto Makundi(BM) kumiliki kiwanda Cha kuunganisha mabasi katika eneo la Kibaha mkoani Pwani
Kiwanda hicho kina uwezo wa kuunganisha mabasi makubwa ya kubeba abiria 50 na kuendelea
Makundi pia anamiliki kampuni ya mabasi ya BM Coac
Pichani Ni waziri wa viwanda akiwa kiwandani hapo alipoenda kukitembelea
TUMPE HONGERA
View attachment 1362441
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa huyo mwenye tshirt, maana watu wenye hela tupo simple sana. Huyo mwenye kitambi atakuwa mtumishi wa serikali tu.
Sent using Jamii Forums mobile app