Hongera sana Mr. Makundi. Nakumbuka serikali imekuwa inasema itatengeneza kiwanda cha kuunganisha malori (Scania) miaka zaidi ya 15 imepita sasa haijatokea, huyu bwana ameweza mwenyewe, apongezwe!Habarini wakuu
Watanzania wanaendelea kubuni fursa za kiviwanda baada ya mtanzania mwenzetu Blasto Makundi(BM) kumiliki kiwanda Cha kuunganisha mabasi katika eneo la Kibaha mkoani Pwani
Kiwanda hicho kina uwezo wa kuunganisha mabasi makubwa ya kubeba abiria 50 na kuendelea
Makundi pia anamiliki kampuni ya mabasi ya BM Coac
Pichani Ni waziri wa viwanda akiwa kiwandani hapo alipoenda kukitembelea
TUMPE HONGERA
View attachment 1362441
Sent using Jamii Forums mobile app