TANZIA Mtanzania mwingine auawa kwa kuchomwa kisu nchini Afrika Kusini

Mtu Wa Mungu Kutoka Yuda

Senior Member
Feb 1, 2023
101
241
South Africa sio nchi ya Kuishi mtanzania tena maana sio salama kabisa Usiende South Africa ni Hatari watu wanatumia sana Visu.

Mtanzania huyu Anaitwa jumanne Ameuwawa Kwa Kuchomwa kisu nchini South Africa katika mji wa Slovo Cape Town chanzo mpaka sasa hakijulikani taarifa hii imetolewa na mmoja wa wana group Lao huko Facebook liitwalo mabaharia the sailors.

View attachment 2635019
Screenshot_2023-05-26-07-19-10-23.jpg
 
South Africa sio nchi ya Kuishi mtanzania tena maana sio salama kabisa Usiende South Africa ni Hatari watu wanatumia sana Visu.

Mtanzania huyu Anaitwa jumanne Ameuwawa Kwa Kuchomwa kisu nchini South Africa katika mji wa Slovo Cape Town chanzo mpaka sasa hakijulikani taarifa hii imetolewa na mmoja wa wana group Lao huko Facebook liitwalo mabaharia the sailors.

View attachment 2635019View attachment 2635020
Warudi nyumbani tupambane na tozo
 
Kifo hakikwepeki hata hapa Bongo utakufa tu siku ikifika.....Tunao ndugu zetu huko SA wanaishi kwa salama na amani miaka nenda rudi...usitishe watu wasiende.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom