Mtu Wa Mungu Kutoka Yuda
Senior Member
- Feb 1, 2023
- 101
- 241
South Africa sio nchi ya Kuishi mtanzania tena maana sio salama kabisa Usiende South Africa ni Hatari watu wanatumia sana Visu.
Mtanzania huyu Anaitwa jumanne Ameuwawa Kwa Kuchomwa kisu nchini South Africa katika mji wa Slovo Cape Town chanzo mpaka sasa hakijulikani taarifa hii imetolewa na mmoja wa wana group Lao huko Facebook liitwalo mabaharia the sailors.
View attachment 2635019
Mtanzania huyu Anaitwa jumanne Ameuwawa Kwa Kuchomwa kisu nchini South Africa katika mji wa Slovo Cape Town chanzo mpaka sasa hakijulikani taarifa hii imetolewa na mmoja wa wana group Lao huko Facebook liitwalo mabaharia the sailors.
View attachment 2635019