Mtu Wa Mungu Kutoka Yuda
Senior Member
- Feb 1, 2023
- 101
- 241
Hivi South Africa kuna nini, mbona Watanzania wanakufa sana? Kwa mnaoifahamu South africa je, ni vibaya kwa Watanzania kwenda kutafuta maisha huko na je, ni mitaa ipi ambayo ni salama kwa Kuishi kama Mtanzania atakaependa kwenda kuishi ili asiuwawe?
Mtanzania anaeitwa Mohhamed Hassan ameuwawa kwa kuchomwa visu na watu wasiojulikana, taarifa hii imetolewa katika kundi lao liitwalo mabaharia the sailors lililopo Facebook.
Je, South Afrika sio sehemu salama ya kuishi kwa Mtanzania, ikitokea mtu unataka kwenda na familia yako au wewe mwenyewe ukaishi?
Mtanzania anaeitwa Mohhamed Hassan ameuwawa kwa kuchomwa visu na watu wasiojulikana, taarifa hii imetolewa katika kundi lao liitwalo mabaharia the sailors lililopo Facebook.
Je, South Afrika sio sehemu salama ya kuishi kwa Mtanzania, ikitokea mtu unataka kwenda na familia yako au wewe mwenyewe ukaishi?