Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 12,552
- 23,633
Mi sitaki unitafutie mchongo...umenisikitisha sana kijana,,ngoja nikipata mchongo ntakutafuta,,namba yako jitahid usibadilishe ninayo ile inaishia 51 voda😁.
Mi nataka naniliu.....
Mi sitaki unitafutie mchongo...umenisikitisha sana kijana,,ngoja nikipata mchongo ntakutafuta,,namba yako jitahid usibadilishe ninayo ile inaishia 51 voda😁.
System za ulaya na America mambo ya bills, loneliness, depression ukichanganya tena ndoa na gambe mbona kuwehuka ni dakika sifuri...Kuna mdada mwingine Belinda Ringo aliajiriwa na TPDC mwaka 2007 kama Lawyer. Baada ya mwaka mmoja TPDC wakampeleka UK kusoma Masters. Kufika huko akawehuka kabisa akakataa kurudi Tanzania. TPDC wakamfukuza kazi akiwa hukohuko. Jitihada za Familia yao zikafanikiwa wakamrudisha Tanzania lakini mpaka leo yupo TU nyumbani kwao Sinza karibu na Meeda akili haziko sawa
Eeeh 🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️Mi sitaki unitafutie mchongo...
Mi nataka naniliu.....
Uniombee basi 😂😂🙏Eeeh 🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️
Kijiji cha kina Bufa mana yeye kijijin kwao mbeya hajaaga na mpaka leo hii ndugu zake hawajui AlipoMasikini dada wa watu isije kuwa watu wa kijijini kwao wamemroga.
Mungu amfanyie wepesi.
Amen 🙏🏾Uniombee basi 😂😂🙏
Previously you treated her like normal person with homeless problemsWell then I am gonna keep giving you medical principles why the act is wrong.
Health is heirerachial you don’t just assume things are right nor just do things as you wish. There are guidelines.
What do you know about safeguarding the patient?
Huyu jamaa ukisoma nyuzi zake naye anaitaji msaada. Ni kichaaKuna jinga moja linaitwa GENTAMYCINE linachekelea eti ni kwa nini alienda nje ya nchi. Hebu fikiri jitu kama hili likipewa madaraka litakuwaje!
Hi nchi ni ya mimbulula yaani matutusaMtu anakwambia sitaki niache kwanini ulazimishe kumrekodi na kumpa msaada ambao hana shida nao?
Halafu unatoka hapo unaenda rusha maudhui mitandaoni na kumwita chizi? Hakuna tafsiri nyingine ya hiyo act zaidi ya udhalilishaji.
Give a dog a bad name and hang him. Ndio nilichokiona hapo.
huku nje si hua tunasikia free health care, hii inasikitisha na kwa hali hiyo hata wale watanzania wa afrika kusini wengi huwa wanalalamika kukosa ushirikiano kutoka kwa ubalozi, kiasi kwamba hujichanga na ubalozi huja kuchukua credits mwishoni kabisa baada ya mambo kuwa hatua za mwishoMimi ni Mtanzania ninayeishi Marekani, kuna Mtanzania mwenzetu mbaye alikuja kama Mwanafunzi hapa, sijui vizuri kuhusu historia yake huko nyuma.
Miaka kadhaa iliyopita alipata changamoto ya Afya ya Akili, sijui nini kiliendelea baada ya hapo kati lakini kilichofuata amekuwa chizi na analala barabarani, amekuwa akifanyiwa ukatili wa kingono na Wanaume mara nyingi bila kuwa na msaada.
Nilienda Ubalozini mara kadha pia kuripoti ili ikiwezekana huyu Mtanzania asaidiwe lakini kinachoonekana wao (Ubalozi) ndio wanataka nianze kufanya kazi yao.
Wanataka kufuatilie na kujua details zaidi kuhusu huyo Mtanzania na mambo mengine kama hayo, mimi siwezi kuingilia hayo masuala ya wao, wenyewe ndio wataalam, mimi nikiwapa taarifa wanatakiwa kujua nini cha kufanya baada ya hapo.
Huyu mtanzania ninamfahamu kwa jina moja tu anaitwa Jane, mitaa ya Houston ndani ya Texas.
Maisha yake ni chini ya Daraja, amekuwa hivyohivyo akiishi chini ya Daraja.
Nilivyoanza kumjua
Kuna siku nikiwa na mke wangu kwenye bustani flani akasikia tunazungumza Kiswahili, akajumuika nasi na kuanza kuzungumza na kisha kujitambulisha.
Tukazungumza naye kwa Kiswahili na akajieleza naye anatoka Ukanda wa Kaskazini kama nilivyo mimi hapo nyumbani Tanzania.
Bahati mbaya nimesahau jina lake la pili na hata sas aukisema umuulie huwezi kupata jibu hilo.
Nimeshatoa picha zake mara kadhaa sehemu tofauti ili anayemjua iwe ni ndugu zake, jamaa au marafiki wamsaidie lakini sijafanikiwa katika hilo, ndio maana nimeona nitumie JamiiForums kufikisha ujumbe huu nadhani utawafikia wahusika na wanaweza kumsaidia.
Nipo tayari kuto ushirikiano kwa ambaye anaweza kuhitaji kumsaidia huyu au kama anawez kumtambua, nimewasilisha mawasiliano yangu kwa JamiiForums kwa mtu ambaye atahitaji kuwasiliana nami.
AiseeTunaobakia Tanzania na kupambana na Hali zetu ( Shida ) huku tukisoma katika Vyuo Vikuu vyetu na Kula Maharage, Tembele na Dagaa huwa tunachekwa na kudharaulika mno na wale ambao huona Ulaya / Marekani ndiyo Pepo na Suluhu yao ya Maisha na Taaluma. Kudadadeki apambane na hali yake kama nasi tunavyopambana na hali zetu huku Madongo Kuinama Afrika.
Sijapenda 🥺🥺Amen 🙏🏾
nini tena😳😳Sijapenda 🥺🥺
Unaniponda tuu toka mchananini tena😳😳
Mpumbavu ni Mama yako Mzazi na siyo Mimi.Wewe ni mpumbavu sana. Ndiyo maana utaozea hapo Bongo kwa sababu mawazo yako ni kijinga. Unaonea wivu mpaka vichaa kwa sababu tu alisafari nje ya nchi? Unataka kila mtu akae Tanzania una kazi za kuwapa? Idiot!
Jinga Moja atakuwa ni Mama yako Mzazi na siyo Mimi.Kuna jinga moja linaitwa GENTAMYCINE linachekelea eti ni kwa nini alienda nje ya nchi. Hebu fikiri jitu kama hili likipewa madaraka litakuwaje!
Mpumbavu hujulikana kwa maneno na matendo anayotenda na siyo kwa kutukanwa! Wewe ndiyo umeonyesha upumbavu wako kwa kufurahia huyo mateso anayopata huyo mgonjwa kisa tu umekosa connection ya kusafiri kama yeye. Dunia ya leo imekuwa kama kijiji na binadamu wanakuwa encouraged kusafiri na kuishi nchi nyingine ili wajifunze vitu vipya wewe unakuja na ulimbukeni wa kufurahia janga linalompata binadamu mwenzako eti kwa sababu tu amekwenda nchi nyingine. Kama siyo wivu na roho ya kichawi ni nini. Umefungiwa hapo Bongo? Jitahidi na wewe utembee uone dunia na siyo kuwa na roho ya kichawi ya kutaka waliokuzidi waangamie. Hizi ni chuki na wivu uliopitiliza na inaonekana wewe unaishi kwenye maisha ya shida na yenye frustration sana. Watu walio nje ya nchi wakirudi kukaa Bongo ndiyo watamaliza shida zako?Jinga Moja atakuwa ni Mama yako Mzazi na siyo Mimi.
Mpumbavu ni Mama yako Mzazi na siyo Mimi.Mpumbavu hujulikana kwa maneno na matendo anayotenda na siyo kwa kutukanwa! Wewe ndiyo umeonyesha upumbavu wako kwa kufurahia huyo mateso anayopata huyo mgonjwa kisa tu umekosa connection ya kusafiri kama yeye. Dunia ya leo imekuwa kama kijiji na binadamu wanakuwa encouraged kusafiri na kuishi nchi nyingine ili wajifunze vitu vipya wewe unakuja na ulimbukeni wa kufurahia janga linalompata binadamu mwenzako eti kwa sababu tu amekwenda nchi nyingine. Kama siyo wivu na roho ya kichawi ni nini. Umefungiwa hapo Bongo? Jitahidi na wewe utembee uone dunia na siyo kuwa na roho ya kichawi ya kutaka waliokuzidi waangamie. Hizi ni chuki na wivu uliopitiliza na inaonekana wewe unaishi kwenye maisha ya shida na yenye frustration sana. Watu walio nje ya nchi wakirudi kukaa Bongo ndiyo watamaliza shida zako?