DOKEZO Mtanzania huyu alikuja Marekani kusoma, akapata changamoto ya Akili, sasa hivi anaishi Mtaani, anahitaji msaada

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna mdada mwingine Belinda Ringo aliajiriwa na TPDC mwaka 2007 kama Lawyer. Baada ya mwaka mmoja TPDC wakampeleka UK kusoma Masters. Kufika huko akawehuka kabisa akakataa kurudi Tanzania. TPDC wakamfukuza kazi akiwa hukohuko. Jitihada za Familia yao zikafanikiwa wakamrudisha Tanzania lakini mpaka leo yupo TU nyumbani kwao Sinza karibu na Meeda akili haziko sawa
System za ulaya na America mambo ya bills, loneliness, depression ukichanganya tena ndoa na gambe mbona kuwehuka ni dakika sifuri...
 
Well then I am gonna keep giving you medical principles why the act is wrong.

Health is heirerachial you don’t just assume things are right nor just do things as you wish. There are guidelines.

What do you know about safeguarding the patient?
Previously you treated her like normal person with homeless problems
Then
She is a patient.... suffering from the hell??

Maza kanywa fanta, no mara waaa huyu binti arudi kwao
 
Mtu anakwambia sitaki niache kwanini ulazimishe kumrekodi na kumpa msaada ambao hana shida nao?

Halafu unatoka hapo unaenda rusha maudhui mitandaoni na kumwita chizi? Hakuna tafsiri nyingine ya hiyo act zaidi ya udhalilishaji.

Give a dog a bad name and hang him. Ndio nilichokiona hapo.
Hi nchi ni ya mimbulula yaani matutusa
Hawataweza kukuelewa, walisha kuwa molested na system ya kimasikini
Wameshazoea kuzodolewa na wanapenda kuzodoa watu katika kuingilia maisha binafsi ya watu yaani mambo umbea na kutaka kujua sana nani anafanya nini, katowa wapi hela au kaishiwa.

Hata hapa utawaona wengi wamekuja just kukanda maisha ya US hata kama kula na kulala yake ni ya kubabia, si unajua masikini akiona mtu ana matatizo anapata furaha ya kikorosho.

Huyu mleta mada naye ni buffoon , ameleta hii kwa sababu hizihizi za kimasikini na sio kumsaidia
 
Mimi ni Mtanzania ninayeishi Marekani, kuna Mtanzania mwenzetu mbaye alikuja kama Mwanafunzi hapa, sijui vizuri kuhusu historia yake huko nyuma.

Miaka kadhaa iliyopita alipata changamoto ya Afya ya Akili, sijui nini kiliendelea baada ya hapo kati lakini kilichofuata amekuwa chizi na analala barabarani, amekuwa akifanyiwa ukatili wa kingono na Wanaume mara nyingi bila kuwa na msaada.

Nilienda Ubalozini mara kadha pia kuripoti ili ikiwezekana huyu Mtanzania asaidiwe lakini kinachoonekana wao (Ubalozi) ndio wanataka nianze kufanya kazi yao.

Wanataka kufuatilie na kujua details zaidi kuhusu huyo Mtanzania na mambo mengine kama hayo, mimi siwezi kuingilia hayo masuala ya wao, wenyewe ndio wataalam, mimi nikiwapa taarifa wanatakiwa kujua nini cha kufanya baada ya hapo.

Huyu mtanzania ninamfahamu kwa jina moja tu anaitwa Jane, mitaa ya Houston ndani ya Texas.

Maisha yake ni chini ya Daraja, amekuwa hivyohivyo akiishi chini ya Daraja.
View attachment 2995304
View attachment 2995860
Barua niliyowahi kuituma Ubalozini siku za nyuma​

Nilivyoanza kumjua
Kuna siku nikiwa na mke wangu kwenye bustani flani akasikia tunazungumza Kiswahili, akajumuika nasi na kuanza kuzungumza na kisha kujitambulisha.

Tukazungumza naye kwa Kiswahili na akajieleza naye anatoka Ukanda wa Kaskazini kama nilivyo mimi hapo nyumbani Tanzania.

Bahati mbaya nimesahau jina lake la pili na hata sas aukisema umuulie huwezi kupata jibu hilo.

Nimeshatoa picha zake mara kadhaa sehemu tofauti ili anayemjua iwe ni ndugu zake, jamaa au marafiki wamsaidie lakini sijafanikiwa katika hilo, ndio maana nimeona nitumie JamiiForums kufikisha ujumbe huu nadhani utawafikia wahusika na wanaweza kumsaidia.

Nipo tayari kuto ushirikiano kwa ambaye anaweza kuhitaji kumsaidia huyu au kama anawez kumtambua, nimewasilisha mawasiliano yangu kwa JamiiForums kwa mtu ambaye atahitaji kuwasiliana nami.
huku nje si hua tunasikia free health care, hii inasikitisha na kwa hali hiyo hata wale watanzania wa afrika kusini wengi huwa wanalalamika kukosa ushirikiano kutoka kwa ubalozi, kiasi kwamba hujichanga na ubalozi huja kuchukua credits mwishoni kabisa baada ya mambo kuwa hatua za mwisho
 
Tunaobakia Tanzania na kupambana na Hali zetu ( Shida ) huku tukisoma katika Vyuo Vikuu vyetu na Kula Maharage, Tembele na Dagaa huwa tunachekwa na kudharaulika mno na wale ambao huona Ulaya / Marekani ndiyo Pepo na Suluhu yao ya Maisha na Taaluma. Kudadadeki apambane na hali yake kama nasi tunavyopambana na hali zetu huku Madongo Kuinama Afrika.
Aisee
 
Jinga Moja atakuwa ni Mama yako Mzazi na siyo Mimi.
Mpumbavu hujulikana kwa maneno na matendo anayotenda na siyo kwa kutukanwa! Wewe ndiyo umeonyesha upumbavu wako kwa kufurahia huyo mateso anayopata huyo mgonjwa kisa tu umekosa connection ya kusafiri kama yeye. Dunia ya leo imekuwa kama kijiji na binadamu wanakuwa encouraged kusafiri na kuishi nchi nyingine ili wajifunze vitu vipya wewe unakuja na ulimbukeni wa kufurahia janga linalompata binadamu mwenzako eti kwa sababu tu amekwenda nchi nyingine. Kama siyo wivu na roho ya kichawi ni nini. Umefungiwa hapo Bongo? Jitahidi na wewe utembee uone dunia na siyo kuwa na roho ya kichawi ya kutaka waliokuzidi waangamie. Hizi ni chuki na wivu uliopitiliza na inaonekana wewe unaishi kwenye maisha ya shida na yenye frustration sana. Watu walio nje ya nchi wakirudi kukaa Bongo ndiyo watamaliza shida zako?
 
Mpumbavu hujulikana kwa maneno na matendo anayotenda na siyo kwa kutukanwa! Wewe ndiyo umeonyesha upumbavu wako kwa kufurahia huyo mateso anayopata huyo mgonjwa kisa tu umekosa connection ya kusafiri kama yeye. Dunia ya leo imekuwa kama kijiji na binadamu wanakuwa encouraged kusafiri na kuishi nchi nyingine ili wajifunze vitu vipya wewe unakuja na ulimbukeni wa kufurahia janga linalompata binadamu mwenzako eti kwa sababu tu amekwenda nchi nyingine. Kama siyo wivu na roho ya kichawi ni nini. Umefungiwa hapo Bongo? Jitahidi na wewe utembee uone dunia na siyo kuwa na roho ya kichawi ya kutaka waliokuzidi waangamie. Hizi ni chuki na wivu uliopitiliza na inaonekana wewe unaishi kwenye maisha ya shida na yenye frustration sana. Watu walio nje ya nchi wakirudi kukaa Bongo ndiyo watamaliza shida zako?
Mpumbavu ni Mama yako Mzazi na siyo Mimi.
 
Back
Top Bottom