Mtanzania atengeneza gari la kifahari

Mtanzania atengeneza gari la kifahari

Aisee ni potential good brain ya watoto na inatakiwa iwe supported kwenye ukuaji wao ila kibongo bongo haipo hivo.
 
Chukua muda aliotumia kuitengeneza, chukua muonekano ulivyotoka, hii inadhihilisha huyo au hao watoto waliotengeneza hiyo gari wanakitu kichani mwao, yawezekana baada ya hapo walianza au alianza kujiuliza nifanyajd ili ijiendeshe yenyewe? Alihitaji kutiwa moyo tu na kuongezewa baadhi ya maarifa yaliyo juu ya upeo wake kitu ambacho kingetimiza ndoto zake na taratibu kwa mfumo kama huu basi tungekuwa na sisi nchi ya viwanda
 
Back
Top Bottom