Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,476
- 2,651
Wasalaam, napenda kuanza kwa kunukuu kauli ya mheshimiwa sana amekuwa akitamka Mara kwa Mara kwamba hii nchi tumeibiwa na kuchezewa sana. Mh amesahau ama amevaa miwani ya mbao makusudi ili asione mbele wala nyuma ya kuwa tangu tupate Uhuru tumeongozwa na ccm na kwa miongo kadha ccm imekuwa wakala mtiifu kwa kugawa utajiri wa Tanzania kwa makampuni ya kibeberu.
Napenda tujiulize ina maana mh sana kweli hajui kuwa umasikini wa watanzania umetengezwa makusudi na wana ccm ili kututawala milele? Kweli hajui mafisadi anaulalamikia kila Leo wapo ccm na ndio waliompa yeye uheshimiwa sana? Anadiriki VP kuwasimanga mabosi Wake bila kutoa solution nini kifanyike. Tujiulize km ccm sio mafisadi papa wameshindwa nini kuwakamata wanaoitwa mafisadi na kuwapeleka mahakama ya mafisadi kisha kumwagiza hakimu awafunge hao mafisadi?
Mwisho watanzania tuache ushabiki wa kisiasa tufumbue macho tuamke usingizini tutambue kuwa mafisadi na wezi wote wakubwa wa Tanzania ni zao la ccm na ndio maana wanalindana hata milele. Naamini adui mkubwa wa Tanzania ni ccm siku ccm akifa hakika taifa hili litasonga mbele, tusitegemee ufisadi na wizi utaondolewa na maccm maana hawa wanaoneana aibu na ndio maana hadi Leo mahakama ya mafisadi imekosa wateja zimebaki propaganda tupu.
Napenda tujiulize ina maana mh sana kweli hajui kuwa umasikini wa watanzania umetengezwa makusudi na wana ccm ili kututawala milele? Kweli hajui mafisadi anaulalamikia kila Leo wapo ccm na ndio waliompa yeye uheshimiwa sana? Anadiriki VP kuwasimanga mabosi Wake bila kutoa solution nini kifanyike. Tujiulize km ccm sio mafisadi papa wameshindwa nini kuwakamata wanaoitwa mafisadi na kuwapeleka mahakama ya mafisadi kisha kumwagiza hakimu awafunge hao mafisadi?
Mwisho watanzania tuache ushabiki wa kisiasa tufumbue macho tuamke usingizini tutambue kuwa mafisadi na wezi wote wakubwa wa Tanzania ni zao la ccm na ndio maana wanalindana hata milele. Naamini adui mkubwa wa Tanzania ni ccm siku ccm akifa hakika taifa hili litasonga mbele, tusitegemee ufisadi na wizi utaondolewa na maccm maana hawa wanaoneana aibu na ndio maana hadi Leo mahakama ya mafisadi imekosa wateja zimebaki propaganda tupu.