Underdog
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 364
- 483
Ninaomba kama kuna Mtanzania yeyote aliyepo nchi tajwa hapo juu na ana connection na kampuni yeyote inayojihusisha na uchimbaji wa madini anisaidie kunishika mkono nipate kazi huko.
Nina shahada ya uhandisi wa Mitambo na nina uzoefu wa mwaka mmoja katika kusimamia, kuzikarabati na pia kukagua engine na mitambo mingine midogomidogo.
Ninathamini kazi na pia huwa niko mbele ya muda kuhakisha nafikia mpango mkakati wa taasisi husika.
Natanguliza shukrani zangu kwa mtoaji au atakayesaidia kupatikana kwa msaada. Unaweza ukanifikia kwa PM.
Nina shahada ya uhandisi wa Mitambo na nina uzoefu wa mwaka mmoja katika kusimamia, kuzikarabati na pia kukagua engine na mitambo mingine midogomidogo.
Ninathamini kazi na pia huwa niko mbele ya muda kuhakisha nafikia mpango mkakati wa taasisi husika.
Natanguliza shukrani zangu kwa mtoaji au atakayesaidia kupatikana kwa msaada. Unaweza ukanifikia kwa PM.