Mtanzania aliyepo Congo Kinshasa

Mtanzania aliyepo Congo Kinshasa

Underdog

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
364
Reaction score
483
Ninaomba kama kuna Mtanzania yeyote aliyepo nchi tajwa hapo juu na ana connection na kampuni yeyote inayojihusisha na uchimbaji wa madini anisaidie kunishika mkono nipate kazi huko.

Nina shahada ya uhandisi wa Mitambo na nina uzoefu wa mwaka mmoja katika kusimamia, kuzikarabati na pia kukagua engine na mitambo mingine midogomidogo.

Ninathamini kazi na pia huwa niko mbele ya muda kuhakisha nafikia mpango mkakati wa taasisi husika.

Natanguliza shukrani zangu kwa mtoaji au atakayesaidia kupatikana kwa msaada. Unaweza ukanifikia kwa PM.
 
Ninaomba kama kuna Mtanzania yeyote aliyepo nchi tajwa hapo juu na ana connection na kampuni yeyote inayojihusisha na uchimbaji wa madini anisaidie kunishika mkono nipate kazi huko.

Nina shahada ya uhandisi wa Mitambo na nina uzoefu wa mwaka mmoja katika kusimamia, kuzikarabati na pia kukagua engine na mitambo mingine midogomidogo.

Ninathamini kazi na pia huwa niko mbele ya muda kuhakisha nafikia mpango mkakati wa taasisi husika.

Natanguliza shukrani zangu kwa mtoaji au atakayesaidia kupatikana kwa msaada. Unaweza ukanifikia kwa PM.
Mkuu take care utakuja kujikuta upo mikononi mwa ADF NARU kwa iyo kuwa makini sana huwa wanatumia sana kutafuta wataalamu kwa kuwadanganyia nafasi km hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu take care utakuja kujikuta upo mikononi mwa ADF NARU kwa iyo kuwa makini sana huwa wanatumia sana kutafuta wataalamu kwa kuwadanganyia nafasi km hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa angalizo Mkuu. Nitajiridhisha kwa kadri nitakavyoweza juu ya msaada wowote utakaotolewa.
 
Nenda Zambia wewe, au Geita kamtafuts kota mmoja anaitwa chacha anamiliki shule inaitwa waja springs academy congo hakuna pesa utaenda uwafanyie kazi mabeberu urudi kama ulivyokwenda
 
Nenda Zambia wewe, au Geita kamtafuts kota mmoja anaitwa chacha anamiliki shule inaitwa waja springs academy congo hakuna pesa utaenda uwafanyie kazi mabeberu urudi kama ulivyokwenda
Unaweza niunganisha naye Mkuu?
 
Sio kweli
Nenda Zambia wewe, au Geita kamtafuts kota mmoja anaitwa chacha anamiliki shule inaitwa waja springs academy congo hakuna pesa utaenda uwafanyie kazi mabeberu urudi kama ulivyokwenda
 
Sina mawasiliano yake, lakini waweza tafuta email yake kupitia wafanyakazi wa kampuni yake kupitia website ya waja springs ni kijana makini sana.
Nashukuru sana kwa muongozo wako, ntajaribu kumtafuta nione mwitikio wake utakuaje.
 
Nashukuru sana kwa muongozo wako, ntajaribu kumtafuta nione mwitikio wake utakuaje.
Ni mkali sana hataki masikhara na kazi, ukipata barua pepe yake fanya maamuzi fastaaaa, au waweza kumDM dada mmoja anaitwa lindasamson1 huko instagram akupe mawasiliano ya mtu yeyote wa kampuni ya waja
 
Ni mkali sana hataki masikhara na kazi, ukipata barua pepe yake fanya maamuzi fastaaaa, au waweza kumDM dada mmoja anaitwa lindasamson1 huko instagram akupe mawasiliano ya mtu yeyote wa kampuni ya waja
shukrani sana, ni kwa bahati mbaya sana sipo insta,ila kwa uhitaji nilio nao sina budi kumtafuta huyo dada
 
Ni mkali sana hataki masikhara na kazi, ukipata barua pepe yake fanya maamuzi fastaaaa, au waweza kumDM dada mmoja anaitwa lindasamson1 huko instagram akupe mawasiliano ya mtu yeyote wa kampuni ya waja
Usimpotoshe mwenzio,ana malengo makubwa,sasa wana anamiliki mgodi gani mkubwa?!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mkali sana hataki masikhara na kazi, ukipata barua pepe yake fanya maamuzi fastaaaa, au waweza kumDM dada mmoja anaitwa lindasamson1 huko instagram akupe mawasiliano ya mtu yeyote wa kampuni ya waja
Usimpotoshe mwenzio,ana malengo makubwa,sasa wana anamiliki mgodi gani mkubwa?!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom