Fredwash
JF-Expert Member
- Oct 27, 2009
- 1,043
- 1,379
Kiukweli sina undungu hata chembe na waarabu mimi binafsi sijaguswa kabisa na kama watanzania mmetembea maeneo ya hao jamaa Arabic countries basi sifikiri kama utatoa ata mia tuna watu wengi wakusaidia wanaotuhusu walau angekuwa mzungu kidogo but si mwarabu wala mhindi
dah we jamaa una roho ya ajabu sana..
kutoa ni moyo usilipize ubaya kwa ubaya.. swala la ugonjwa ama kusaidia mtu halichukuliwi kwa rang wala kabila
ingekuwa hivyo wale wakimbiz wa kiarabu wasingepokelewa ulaya ama wasomali
wasingeishi kenya