Mtangazaji wa ITV leo sauti yake ina mikwaruzo sana?

Mtangazaji wa ITV leo sauti yake ina mikwaruzo sana?

sanyaji

Senior Member
Joined
Oct 1, 2019
Posts
117
Reaction score
127
Nimekuwa nikimsikiliza mtangazaji huyu wa ITV Mwaipuge anayeripoti kutoka bungeni sauti yake si ile tuliyoizoea. Ina mkwaruzo Fulani unaoudhi hata kusikiliza, amekula kitu gani? Wahusika hebu lichunguzeni Jambo Hilo, ninaamini Mimi ninavyokereka, wapo na wengine
 
Nadhani ana matatizo ..sauti yake inakera sana kuisikiliza..nashangaa ITV bado wamelala tu..
 
Nimekuwa nikimsikiliza mtangazaji huyu wa ITV Mwaipuge anaye ripoti kutoka bungeni sauti yake si ile tuliyoizoea. Ina mkwaruzo Fulani unaoudhi hata kusikiliza, amekula kitu gani? Wahusika hebu lichunguzeni Jambo Hilo, ninaamini Mimi ninavyokereka, wapo na wengine
Runinga zingine Kwako hazionyeshi au?
 
Nimekuwa nikimsikiliza mtangazaji huyu wa ITV Mwaipuge anaye ripoti kutoka bungeni sauti yake si ile tuliyoizoea. Ina mkwaruzo Fulani unaoudhi hata kusikiliza, amekula kitu gani? Wahusika hebu lichunguzeni Jambo Hilo, ninaamini Mimi ninavyokereka, wapo na wengine
amelamba visivyo lambika, wenyewe wanasema "amepiga deki" lazma sauti ikwaruze maana kuna vijidudu mle.
 
Kwani we mtoa mada unajua ni vyakula gani vinasababisha mkwaruzo wa sauti?Kwani kila sauti inapopata shida ni kutokana na chakula?
Lakini ITV si wanazo anuani za kuwasilisha maoni yao.
Naona kama umemshambulia mwandishi
 
Nimekuwa nikimsikiliza mtangazaji huyu wa ITV Mwaipuge anayeripoti kutoka bungeni sauti yake si ile tuliyoizoea. Ina mkwaruzo Fulani unaoudhi hata kusikiliza, amekula kitu gani? Wahusika hebu lichunguzeni Jambo Hilo, ninaamini Mimi ninavyokereka, wapo na wengine
Mwaipuge - Mwaifuge

Isakwisa Mwaifuge
 
Nimekuwa nikimsikiliza mtangazaji huyu wa ITV Mwaipuge anayeripoti kutoka bungeni sauti yake si ile tuliyoizoea. Ina mkwaruzo Fulani unaoudhi hata kusikiliza, amekula kitu gani? Wahusika hebu lichunguzeni Jambo Hilo, ninaamini Mimi ninavyokereka, wapo na wengine
Wako huyo na yule mwenye kuongea kama amekabwa.

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Nimekuwa nikimsikiliza mtangazaji huyu wa ITV Mwaipuge anayeripoti kutoka bungeni sauti yake si ile tuliyoizoea. Ina mkwaruzo Fulani unaoudhi hata kusikiliza, amekula kitu gani? Wahusika hebu lichunguzeni Jambo Hilo, ninaamini Mimi ninavyokereka, wapo na wengine
Labda mike yake betiri zimeisha
 
Wako huyo na yule mwenye kuongea kama amekabwa.

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
Kuna ripota wa ITV/Radio One anaitwa Godfrey Monyo naye siku za nyuma nilidhani sauti imemgomea kwa muda sababu ya kuumwa au dharura. Lakini inavyoelekea ndio sauti yake. Hua najiuliza amewezaje kua ripota au mtangazaji wa radio au television!!!?

Inawezekana ana taaluma na ujuzi wa kutosha na unaohitajika kwenye kazi hiyo lakini utangazaji ni sanaa. Sanaa ya uwasilishaji taarifa, habari na burudani kwa wasikilizaji kwa njia ya kupendeza. Ndio maana hata kwenye runinga kuna mavazi ya kuvaa na personalities fulani ambazo menejimenti ya vyombo husika hupenda ma presenta wao wajivike ili wasiwe kero kwa wasiliizaji na watazamaji wao
 
Konyagi hiyo!,alipaswa kustua kidogo na supu akae sawa bin sawia😀😀
 
Hivi?
Yule bibie Farhia Middle, hana likizo, habadilishwi?
Kanenepa sana na tangazo lake la kila siku "Supa Brandi" 👍 sasa limepitwa na wakati
 
Nimekuwa nikimsikiliza mtangazaji huyu wa ITV Mwaipuge anaye ripoti kutoka bungeni sauti yake si ile tuliyoizoea. Ina mkwaruzo Fulani unaoudhi hata kusikiliza, amekula kitu gani? Wahusika hebu lichunguzeni Jambo Hilo, ninaamini Mimi ninavyokereka, wapo na wengine
Mi nitatoka nje ya Mada husika lakn kwenye tasnia hii hii ya uandishi na utangazaji.

Kuna waandishi wawili wa I.T.V wanashida na sauti zao.

Kuna Huyu James Paul wa Moshi kilimanjaro, kwanza ni mzee na sauti yake inatetemeka Mno pili sauti yake huwa haitoki vizuri kama vile mtu aongee huku anatingishwa tingishwa.

Kwa kumalizia kuna yule Godfrey Monyo ndo kabisa Yani sauti kama anapiga Debe, kuna muda haitoki kabisa. Mara nyingi anareportia akiwa mjini Kati Hasa mahakam ya kisutu.
 
JAMANI NI ULEMAVU WA MAUMBILE YA SAUTI.
MSIWAPONDE,Kesho kwako
 
Back
Top Bottom