Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,440
- 1,962
Mimi Je napenda sana!basi nnavopenda style yake ya utangazaji!!
Mimi Je napenda sana!basi nnavopenda style yake ya utangazaji!!
Ha ha ha ha!Kwanini mashabiki wa simba mna jazba hivyo yaani mnashambulia kila kitu kilicho mbele yenu....viti mmeng'oa sasa hivi mnataka kumng'oa Kivuyo hahahaha
ha hahahaaYan hata Mimi ameniuzi Sana, kidogo ninywe sumu, yani hizo mbwembwe zake hazina hata maana
Mleta thread kama umekasirika ng'oa viti vya sitting room kwako.
Bombardieraina gani hiyo???
Huwa sisikilizi upuuuuzi wake, nikisikia vitendawili tu mwanzo wa simulizi za michezo natoa!Mtangazaji wa kipindi cha michezo cha ITV, Hemed Kivuyo amekuwa kero kwani amekuwa anatangaza habari za michezo Kihuni. Mtangazaji huyo amekuwa na kejeli sana hasa anapotangaza habari za Klabu ya yoyote dhidi ya Yanga.
Tunamshauri apunguze Mahaba dhidi ya Yanga.