Mtangazaji wa BBC Fred Mtoi afariki dunia

Mtangazaji wa BBC Fred Mtoi afariki dunia

Humu JF tunae Mohammed Miti, so uwe unafafanua Jina zima kwenye Heading

Hata mi nlistuka sana nikafikiri Great Thinker Mohammed Mtoi katutoka.

Tuwe makini na headings za threads zetu wandugu. Tutajauana kwa mapresha bure.

RIP Mtoi wa BBC
 
Last edited by a moderator:
Badilisha heading yako. Andika jina full la marehemu. Kuna Mtoi wengi.. Unatuchanganya.
Mungu amuweke Fredy Mtoi. panapomstahili.
 
rip braza,

attachment.php
 
View attachment 71418
Fred alianza kazi ya utangazaji katika Radio Tanzania kabla ya kuja Ulaya kwa mafunzo.
Amekuwa akifanya kazi huku akiendelea na masomo ya shahada ya pili ya masters kwenye digital media katika chuo kikuu kimoja cha London.
Alishiriki katika vipindi muhimu na vilivyopata sifa hasa vya sanaa, utamaduni na jamii kutokana na kuwafahamu wakaazi wengi wa London hasa wenye asili ya Afrika Mashariki.
Alishiriki piya katika matangazo ya kawaida ya habari ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC.
Wenzake katika Idhaa ya Kiswahili ya BBC wanamkumbuka Fred kuwa mtu mwema, mpole, mchangamfu na anayepatana na wote, na ambaye alikuwa mtangazaji tulivu na akishikilia kazi lazima ahakikishe kuwa ameimaliza vema iwezekanavyo.
Matayarisho yanafanywa kusafirisha mwili wake hadi Tanzania

RIP Fredy
 
Badilisha heading yako. Andika jina full la marehemu. Kuna Mtoi wengi.. Unatuchanganya.
Mungu amuweke Fredy Mtoi. panapomstahili.

Heading imesomeka hivi:[h=2]Mtangazaji wa BBC Fred Mtoi afariki dunia

Unafahamu Fredy Mtoi wangapi wanaofanya BBC mpaka uchanganyikiwe
?[/h]
 
Mwenyezi Mungu akupe pumziko la milele pale alipo kupangia kaka Fred. Sisi sote ni wasafiri katika dongo hili.

*Mliodhani kama ni mimi ndio nimewatoka poleni sana kwa usumbufu wowote mlio upata, bado mwenyezi Mungu hajaamua kuniita*

Tukumbuke, kila nafsi itaonja mauti.
 
Mwenyezi Mungu akupe pumziko la milele pale alipo kupangia kaka Fred. Sisi sote ni wasafiri katika dongo hili.

*Mliodhani kama ni mimi ndio nimewatoka poleni sana kwa usumbufu wowote mlio upata, bado mwenyezi Mungu hajaamua kuniita*

Tukumbuke, kila nafsi itaonja mauti.

Mkuu Mohamed Mtoi una undugu na marehemu? Just curiosity!
R.I.P Fredy!!
 
R.I.P Fredy mtoi. kazi ya bwana haina makosa nasi tuko nyuma yako. ameni.
 
Back
Top Bottom