Mtangazaji ITV uliyehabarisha wizi wa box la kura Magomeni uwe makini, unatafutwa na "kuwindwa" kwa muda mrefu

Acha mambo ya Kizamani Uchaguzi ulishaisha na tuheshimu maamuzi ya wana Kinondoni. [HASHTAG]#KinondoniDecided[/HASHTAG]. Kila Uchaguzi mkidondokea pua mnasingizia kuibiwa kura.
Mambo ya kizamani ni kumimina risasi kwenye daladala na kuua raiya wakati wa kufanikisha wizi wa kura uliokua unasisiwa na DED na policcm.

Wanakinondoni waliamua kweli kabisa ndiyomaana policcm mmepanic baada ya habari kuonekana mubashara policcm mkiiba sanduku la kura.
 
Hilo la box la kura eti kuibiwa ni uzushi mkubwa mno....Chadema hiki hakikukosi kutunga uongo kila siku...box liibiwe ili iwe nini??? Tanzania hii hatujafikia hukokuiba box la kura....
Sherehekea ushindi huu wa damu.
2e9e214c65305fae544d7ccb878be348.jpg
 
ITV haikuomba radhi kwasababu imetangaza kuibiwa box la kura kata ya Idrisa Magomeni la hasha ilichosema inaomba radhi kwa mtangazaji wao kumuhoji msimamizi wa uchaguzi ndani kwenye kituo cha uchaguzi...na kingine usimkatishe tamaa kwa kuongea ukweli ni bora ufe na mawazo yanayoishi kuliko kuishi na mawazo yalikufa kama hao chama cha mapinduzi wasiojielewa wanaoukataa ukweli mchana kweupe...Go go Lameck,wanadamu waovu wakikuzunguka Mungu yupo pamoja nawe
 
Habari za siku wanajukwaa.

Kuna tetesi zimezagaa mitaani kuwa ripota wa ITV Spencer Lameck amepigwa stop kufanya matangazo kwenye TV baada ya kuripoti kuibwa kwa sanduku la kura na kurejeshwa muda mfupi ktk kituo cha Idrisa kinondoni hapo jana.

Inadaiwa waziri wa habari Dr Mwakyembe na TCRA wameiambia ITV wachague kati ya kuendelea kurusha habari au wamfukuze kazi Spencer. Habari zinadai ITV wamechagua kumfukuza Spencer.

Pia wachunguzi wamedai huenda Spencer akatafutiwa kazi nyingine IPP ambayo haitamfanya tena kusikika wala kuonekana ktk tasnia ya habari.
 
Hilo la box la kura eti kuibiwa ni uzushi mkubwa mno....Chadema hiki hakikukosi kutunga uongo kila siku...box liibiwe ili iwe nini??? Tanzania hii hatujafikia hukokuiba box la kura....
Na hiyo siku ikifika huta jua.
 
Habari za siku wanajukwaa.

Kuna tetesi zimezagaa mitaani kuwa ripota wa ITV Spencer Lameck amepigwa stop kufanya matangazo kwenye TV baada ya kuripoti kuibwa kwa sanduku la kura na kurejeshwa muda mfupi ktk kituo cha Idrisa kinondoni hapo jana.

Inadaiwa waziri wa habari Dr Mwakyembe na TCRA wameiambia ITV wachague kati ya kuendelea kurusha habari au wamfukuze kazi Spencer. Habari zinadai ITV wamechagua kumfukuza Spencer.

Pia wachunguzi wamedai huenda Spencer akatafutiwa kazi nyingine IPP ambayo haitamfanya tena kusikika wala kuonekana ktk tasnia ya habari.
Hizo habari zimezagaa wp tupe chanzo maana tumemuona asbh akiripoti matokeo ya uchaguzi kinondoni
 
Habari za siku wanajukwaa.

Kuna tetesi zimezagaa mitaani kuwa ripota wa ITV Spencer Lameck amepigwa stop kufanya matangazo kwenye TV baada ya kuripoti kuibwa kwa sanduku la kura na kurejeshwa muda mfupi ktk kituo cha Idrisa kinondoni hapo jana.

Inadaiwa waziri wa habari Dr Mwakyembe na TCRA wameiambia ITV wachague kati ya kuendelea kurusha habari au wamfukuze kazi Spencer. Habari zinadai ITV wamechagua kumfukuza Spencer.

Pia wachunguzi wamedai huenda Spencer akatafutiwa kazi nyingine IPP ambayo haitamfanya tena kusikika wala kuonekana ktk tasnia ya habari.
Ndio Ccm yetu hiyo.. Yaani waibe halafu alie muona mwizi afukuzwe kazi... Shameeee
 
Back
Top Bottom