WISDOM SEEDS
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 841
- 282
mbona povu limekutoka sana tulia dawa ikuingie vizuri acha mapepe
Anayetokwa na povu mimi au wewe? Picha upige mwenyewe kisha uipost facebook kwa watoto wenzio wasiokuwa na staha, wameishupalia unaanza kulia lia na kutokwa povu, na sasa hasira unazihamishia humu JF kwa ID fake wakati ni wewe Salim Kikeke. Pole sana, acha kutumia nguvu kuubwa kujitetea kwa jambo ambalo wala halitakusaidia kwa sababu picha imeshazagaa kila kona!