Mtangazaji BBC, Salim Kikeke kadhalilishwa vibaya mtandaoni

mbona povu limekutoka sana tulia dawa ikuingie vizuri acha mapepe

Anayetokwa na povu mimi au wewe? Picha upige mwenyewe kisha uipost facebook kwa watoto wenzio wasiokuwa na staha, wameishupalia unaanza kulia lia na kutokwa povu, na sasa hasira unazihamishia humu JF kwa ID fake wakati ni wewe Salim Kikeke. Pole sana, acha kutumia nguvu kuubwa kujitetea kwa jambo ambalo wala halitakusaidia kwa sababu picha imeshazagaa kila kona!
 
Anayetokwa na povu mimi au wewe? Picha upige mwenyewe kisha uipost facebook kwa watoto wenzio wasiokuwa na staha, wameishupalia unaanza kulia lia na kutokwa povu, na sasa hasira unazihamishia humu JF kwa ID fake wakati ni wewe Salim Kikeke. Pole sana, acha kutumia nguvu kuubwa kujitetea kwa jambo ambalo wala halitakusaidia kwa sababu picha imeshazagaa kila kona!
sina muda wa kushindana na mfu kama wewe.
 
Samahani ndugu wajumbe, kidogo nilchelea kufika kwenye huu Uzi....
Naomba kuwasilisha.
 
Mwanamme kupewa urijali ni kudhalilishwa? Alitaka aambiwe jongoo hapandi mti?

On the real though, kwani picha imechakatwa?
 
Picha iliozagaa katika mtandao wa facebook, ikimwonyesha mtangazaji mashuhuli wa idhaa ya kiswahili ambae ni raia wa Tanzania; Salim Kikeke imezua mjadala mzito. Picha hiyo ambayo Kikeke aliipiga akiwa amesimama na mrembo ambae juzi alitwaa taji la miss dunia, imemsikitisha sana bwana Salim kikeke.

Akizungumza kwa njia ya simu toka Pemba, Tanzania (mapumzikoni) alisema anashangazwa sana na binadamu wenye akili fupi kumdhalilisha kiasi iko.Aliongeza kusema yeye ni baba wa watoto na anampenda na kumweshimu mke wake sana pia anapenda kupiga picha na watu maarufu duniani na hiyo sio mara yake ya kwanza. Ameshangazwa na aliyepost picha hiyo kumfanyia jambo la dharau kiasi hiki.

Alimalizia kusema yeye yote amemwachia mungu.

attachment.php


Salim naye, sasa kwanini hakuvaa chupi mpaka achoreke hivyo? Hizi nyege zingine bwana, yaani kushika mwanamke tu mtu unadinda, si udhaifu huu jamani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom