Mtangazaji B Dozen amvalisha pete mpenzi wake wa miaka mingi

Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi mtangazaji mashuhuri nchini Hamis Mandi aka Bdozen ambaye kwa sasa anatangazia kituo cha redio cha E-FM amemvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi aitwaye Faudhia.

Hii ni baada ya kuweka mahusiano yao private kwa miaka mingi sana.

Kwa nini sasa kamvisha pete? Hao ni mke na mume tayari
 
Halafu shida nyingine ni kwamba unakuta mdada analilia Pete tu kila wakati ni kulia lia huku mwanaume hajajipanga kumuweka ndani basi wanaamua kuwavalisha halafu mwanaume anapita hivi
Inabidi pete ikitua tu kidoleni, mdada fanya process za ndoa fasta, akikinai utamu imekula kwako

Uchumba na ndoa hapohapo sio sijui sijajipanga, tutajipanga ndani humo humo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom