Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,650
Kwa nini sasa kamvisha pete? Hao ni mke na mume tayariKatika hali ambayo haikutarajiwa na wengi mtangazaji mashuhuri nchini Hamis Mandi aka Bdozen ambaye kwa sasa anatangazia kituo cha redio cha E-FM amemvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi aitwaye Faudhia.
Hii ni baada ya kuweka mahusiano yao private kwa miaka mingi sana.