witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,096
Na mbona hakumuoa huyo mdada sasa kama ishu ni watotoSio kwamba hataki ila bado hajabahatika kupata. Sasa mwanaume lazima taa iwake, hii inaweza kuwa sababu ya kumfanya avute muda. Mbona Majizo ana mtoto kwa Hamisa.
Na sio hamisa tu, anao watoto wengi kwa mama tofauti
That's y Eliza haoni jipya