TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,202
- 25,378
Nafasi moja ya mdada wa kike ambaye ana ujuzi (hata kama huna cheti) wa kuweza kuitazama camera na kufanya interview kwa watu mbalimbali, ambaye anaweza kujituma katika kazi basi nafasi ni moja na inamsubiri.
SIFA: soma kwa utaratibu hiyo post inajieleza.
ZAIDI: ukiwa tayari ni PM.
=================================
UPDATES:
Kwa wale tuliowasiliana kuhusu hii issue hapo juu tafadhari kesho tuonane pale MARYLAND mwenge unashuka kituo cha ITV, ukitokea makumbusho ni upande wa kushoto, but ukitokea tegeta au Ubungo unavuka barabara na uliza hilo jina utaelekezwa ni hatua chache toka kituo cha basi.
Tumefanya hapo kutokana na wengi kuomba tuangalie jiografia ya wengi wanapotoka na umbali.
KARIBU.
SIFA: soma kwa utaratibu hiyo post inajieleza.
ZAIDI: ukiwa tayari ni PM.
=================================
UPDATES:
Kwa wale tuliowasiliana kuhusu hii issue hapo juu tafadhari kesho tuonane pale MARYLAND mwenge unashuka kituo cha ITV, ukitokea makumbusho ni upande wa kushoto, but ukitokea tegeta au Ubungo unavuka barabara na uliza hilo jina utaelekezwa ni hatua chache toka kituo cha basi.
Tumefanya hapo kutokana na wengi kuomba tuangalie jiografia ya wengi wanapotoka na umbali.
KARIBU.