Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 10,085
- 14,725
Mkuu duh umenivunja tumain kbs maana hiyo vidacom ndio shida kabs! Na ninaishi karibu kbs mnara kama km 1.5 hivi. Unakuta signal bar imejaa kbs lakini inaandika E badala ya 3G hapo net kuipata ni ishu sana. Anyway asante kwa ushauri wako
Siyo kila mnara una 3G.