Mtandao gani una internet ya uhakika?

Mtandao gani una internet ya uhakika?

Mkuu duh umenivunja tumain kbs maana hiyo vidacom ndio shida kabs! Na ninaishi karibu kbs mnara kama km 1.5 hivi. Unakuta signal bar imejaa kbs lakini inaandika E badala ya 3G hapo net kuipata ni ishu sana. Anyway asante kwa ushauri wako

Siyo kila mnara una 3G.
 
Sehemu nyingi za nchi internet yenya kasi ya 3g imeenea zaidi kwenye mitandao ya Vodaxom na tg.
 
Naomba nisaidiwe cellular network gani ina reliable signals za internet? Maana vodacom naona ni shida mnoo, huwa najiunga 30days plan kwa 25,000/=. Toka day 1 mpk ya 30 hakuna tofauti ya data trafficking inakua ya kukatika na kuja mda wote.

Je kuna mtandao mbadala ninaoweza pata signals za internet vizuri bila interruption? Hata km ni premium price kwa to plan zao please nisaidieni.


Asante

Smile.

Hawa hapa: http://smile.co.tz/#page
 
Sijaelewa kama unataka kwa modem au kwa simu,nitakupa uzoefu wangu mdogo.Natumia Huawei ascend 7 huwa nafanya tethering na kompyuta yangu na ipo vizuri toka asubuhi mpaka saa 4 usiku ndo huanza kusumbua,haipo stable lakini naweza upload mpaka file la 300 mb kwa mara moja(kwangu hiyo ni maendeleo). Na ndo tunatumia pia ofisini kama router kwa kompyuta 3,ushauri,angalia upo eneo lenye speed gani jaribu kutumia simu kama Wi-Fi spot
 
Mkuu duh umenivunja tumain kbs maana hiyo vidacom ndio shida kabs! Na ninaishi karibu kbs mnara kama km 1.5 hivi. Unakuta signal bar imejaa kbs lakini inaandika E badala ya 3G hapo net kuipata ni ishu sana. Anyway asante kwa ushauri wako

Basi tuweke hivi.:
Speed ya internet husika inategemea na eneo ambalo upo. Kuna sehemu tigo ina speed kuliko hata smile na sehemu nyingine ni hopeless.
Ila nimekupa ile average speed accross the country unless wewe sio mobile all the time kama wakina sisi.
 
Mm navyojua kwa hapa Dar mitandao yote yenye 3G Inafanya vizuri ila Tigo ni kimeo kwa maeneo mengi
Kwa ushauri tu we nde kalipie 4G kwa Tigo
 
Mimi nilikuwa nimekariri kuwa voda ndio mtandao wenye kasi ya internet ila majuzi hapa nilikuwa city centre aisee tigo iko vizuri sana maeneo hayo, yaani inasoma 3G tu bila kushuka? sasa kwa kuwa nilizoea kuona tigo inasoma E tu hapa nilipo basi nikajua ni kila sehemu, hapo ndipo nilipogundua kuwa kasi ya internet inategemea mahali ulipo, maeneo mengi ambayo yana watu wachache kama kijijini voda inasumbua tena haisomi hata E wakati tigo inasoma E maeneo hayo.

Yote tisa, kumi voda iko vizuri maeneo mengi kuliko tigo halafu mtamdao unaofuatia ni airtel.
 
Back
Top Bottom