Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Naomba nisaidiwe cellular network gani ina reliable signals za internet? Maana vodacom naona ni shida mnoo, huwa najiunga 30days plan kwa 25,000/=. Toka day 1 mpk ya 30 hakuna tofauti ya data trafficking inakua ya kukatika na kuja mda wote.
Je kuna mtandao mbadala ninaoweza pata signals za internet vizuri bila interruption? Hata km ni premium price kwa to plan zao please nisaidieni.
Asante
Je kuna mtandao mbadala ninaoweza pata signals za internet vizuri bila interruption? Hata km ni premium price kwa to plan zao please nisaidieni.
Asante