Mtambue mwanamke

Mtambue mwanamke

Nikikutongoza ukileta mapozi nakupotezea tu maisha yaendelee
 
Wanaume mna tabu. Yani kumfanya mtu hakupendi akupende, nikipaji
 
Unataka kutuaminisha tumfatilie mwanamke kama tunavyofatilia mafao ya kustaafu?
Ooh!shit Demu akinizingua zaidi ya wiki akafie mbele ya safari
Wanaume wengi wanashindwa kutambua wanawake kwa haraka hasa katika sekta ya tongozo. MWanamke ni kiumbe mmoja ambae ni makini sana na ni mgumu kuonesha hisia zake haraka. Unaweza ukamtongoza akakutukana kabisa au akakupa maneno ya kuumiza ila unatakiwa kumsoma kwanza kabla hujafanya maamuzi ya kukata shauri na kubwaga manyanga.

Sababu kubwa ya sitaki nataka huamini ya kuwa endapo atakujibu haraka haraka ana hofu utamwona muhuni au hana maadili hivyo hubana hisia zake kwako, na pengine usiku halali kwa mawazo juu yako ila kwakuwa kaumbiwa hofu ya kuhisiwa negativity anaona akomae.

Pia wanawake wengi hupenda kubembelezwa na ule usumbufu wanaowapa wanaume wao ndio huhisi kupendwa zaidi au kuna muda huhisi wanaume wanawajaribu na hii inatokana aidha na historia na. n.k.

KWahiyo wanaueme mjifunze kuwasoma kwanza kabla hamjajingiiza mwanamke akikupenda kumjua ni rahisi sababu ya aibu na sitaki nataka zake na huyo huenda ikawa ni bora sina uhakika. Ila mwanamke mwengine anaweza kuwa mwepesi kukukubalia haimaniishi ni muhuni ila mwengine akipenda mtu haoni sababu ya kumzungusha. So muombe Mungu akupe jicho la tatu la kumwona kiundani zaidi unless unataka hit and run.
 
Mwanamke hatongozwi zaidi ya mara 3 kama Bado haeleweki unapiga nyama chini unatafuta soko mpya

Ikiwa bado anajisogeza unatumia njia ya outing(pay bills) na kula mzigo ..
 
Wanaume wengi wanashindwa kutambua wanawake kwa haraka hasa katika sekta ya tongozo. MWanamke ni kiumbe mmoja ambae ni makini sana na ni mgumu kuonesha hisia zake haraka. Unaweza ukamtongoza akakutukana kabisa au akakupa maneno ya kuumiza ila unatakiwa kumsoma kwanza kabla hujafanya maamuzi ya kukata shauri na kubwaga manyanga.

Sababu kubwa ya sitaki nataka huamini ya kuwa endapo atakujibu haraka haraka ana hofu utamwona muhuni au hana maadili hivyo hubana hisia zake kwako, na pengine usiku halali kwa mawazo juu yako ila kwakuwa kaumbiwa hofu ya kuhisiwa negativity anaona akomae.

Pia wanawake wengi hupenda kubembelezwa na ule usumbufu wanaowapa wanaume wao ndio huhisi kupendwa zaidi au kuna muda huhisi wanaume wanawajaribu na hii inatokana aidha na historia na. n.k.

KWahiyo wanaueme mjifunze kuwasoma kwanza kabla hamjajingiiza mwanamke akikupenda kumjua ni rahisi sababu ya aibu na sitaki nataka zake na huyo huenda ikawa ni bora sina uhakika. Ila mwanamke mwengine anaweza kuwa mwepesi kukukubalia haimaniishi ni muhuni ila mwengine akipenda mtu haoni sababu ya kumzungusha. So muombe Mungu akupe jicho la tatu la kumwona kiundani zaidi unless unataka hit and run.

Mkuu usiwaandikie wanawake, waache waandike wenyewe.
 
Wanaume wengi wanashindwa kutambua wanawake kwa haraka hasa katika sekta ya tongozo. MWanamke ni kiumbe mmoja ambae ni makini sana na ni mgumu kuonesha hisia zake haraka. Unaweza ukamtongoza akakutukana kabisa au akakupa maneno ya kuumiza ila unatakiwa kumsoma kwanza kabla hujafanya maamuzi ya kukata shauri na kubwaga manyanga.

Sababu kubwa ya sitaki nataka huamini ya kuwa endapo atakujibu haraka haraka ana hofu utamwona muhuni au hana maadili hivyo hubana hisia zake kwako, na pengine usiku halali kwa mawazo juu yako ila kwakuwa kaumbiwa hofu ya kuhisiwa negativity anaona akomae.

Pia wanawake wengi hupenda kubembelezwa na ule usumbufu wanaowapa wanaume wao ndio huhisi kupendwa zaidi au kuna muda huhisi wanaume wanawajaribu na hii inatokana aidha na historia na. n.k.

KWahiyo wanaueme mjifunze kuwasoma kwanza kabla hamjajingiiza mwanamke akikupenda kumjua ni rahisi sababu ya aibu na sitaki nataka zake na huyo huenda ikawa ni bora sina uhakika. Ila mwanamke mwengine anaweza kuwa mwepesi kukukubalia haimaniishi ni muhuni ila mwengine akipenda mtu haoni sababu ya kumzungusha. So muombe Mungu akupe jicho la tatu la kumwona kiundani zaidi unless unataka hit and run.
Primitive love mtu akikielewa elewaneni tu mambo ya kubembelezana ni upumbavu.
 
Back
Top Bottom