mkuu ndio sasa tunaanza kuona effects za kufungwa ile web.....Ni matokeo ya kufungwa kwa ile website.
inaemekana jamaa hayuko sawa sawa.kwani alishawahi kuwa member hapa JF?
tehe tehe mkuu umeangalia ile link? alafu unajua aliwahi kuwa member wa JF na alikuwa anamwaga vepa mtindo mmoja....hii sio kama ile mtu anaanzisha thread eti yuko wapi cuppy wake? au kwanini lyumba anakunywa maji au unaona iko sawa na ile Flora nducha kaolewa na nani?Alafu Yo Yo unawasema wenzako kuwa wanaanzisha threads za kisalon salon, hii nayo tuiweke kwenye kundi gani?