Mtaji wa masikini, Nguvu zake mwenyewe

Mtaji wa masikini, Nguvu zake mwenyewe

Mchumba

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
280
Reaction score
262
Siku zote masikini hadeki...
attachment.php
 

Attachments

  • 2843185_orig.jpg
    2843185_orig.jpg
    99.3 KB · Views: 910
tushapiga sana hizo enzi za mwalimu, eti miradi ya kujitegemea shuleni basi shule inakodishwa na mtu binafsi kumlimia au kubeba tofali we acha tu. Mnaambiwa kila mtu tofali mia. Tumetoka mbali wadau
 
Dah enzi za school tumebeba sana,kwa kweli ilikuwa utumwa ule,hongereni mliosomea mijini
 
Mbaya sana jamani, ni umri wa kua shule na sio kubeba mizigo namna hiyo
Mungu awanusuru, na kuwawezesha kufikia hatua nzuri ktk elimu ili wajikwamue kutoka Janga hili linalowaangamiza watoto hawa
 
Wapo watoto ambao kwao maisha ni maumivu makubwa. Watu wamekuwa hawajali tena kuhusu familia zao, serikali nayo ndio kabisaa. Ndio maana Robert Marley katika wimbo uitwao survival anasema "Unawezaje kusema unajali wakati tukiangalia kila kona watu wanateseka?" The world isnt fair at all
 
Back
Top Bottom