Msuya Jr.
JF-Expert Member
- May 31, 2013
- 1,691
- 900
Mkuu ulishapata wa ku share.Nina eneo Dar.... Kama uko interestes njoo inbox...
Tunaingia share
Mkuu ulishapata wa ku share.Nina eneo Dar.... Kama uko interestes njoo inbox...
Tunaingia share
mkuu naomba makadilia na mchanganuo wa kuchimba kisima kidogoKwa atakayehitaji kisima kwa shughuli ya umwagiliaji huko kimbiji tuwasiliane,bei ni nafuu mno kwa kisima cha lingi.
Unahitajia kisima cha aina gani? vipo vya kuchimba kwa mkono na kujengwa kwa ringi hivi gharama zake si zaidi ya Milioni moja kama labour charges,mkuu naomba makadilia na mchanganuo wa kuchimba kisima kidogo