Mtaji wa 2.5m/-, Naweza kufanya biashara gani?

Kweli wewe una tatizo la kichwa! Kwa hiyo unataka kusema kuna viwango vya mtaji specifically kwa wenye masters, phd, diploma na wasio na elimu kabisa? Na hii nadhani ndo sababu inayowafanya wasomo wengi wanashindwa kufanya biashara kwa kufukiria wanahitaji mamilioni ya pesa kuanza biashara.

Hiyo ni pesa mbuzi kwa biashara kwa mtu mwenye Masters, itoe tu sadaka kanisani au msikitini, mungu atakuongezea maradufu.
 
Jamaa waongo na hawataki kukweleza ukweli. Hela hiyo ni ndogo mno kutoka.

Kwa elimu yako uanze kuuza nyara za serikali (nyama) pori ujiandae kabisa kufungwa na ikibidi uchagua gereza! Tigo pesa na M pesa sawa lkn ukweli mtaji huo mdogo hautamudu. Yaani kwanza kwa masharti ya mtaji wa kuanzia fedha ni ndogo, pia kwa fedha za kuhudumia wateja ndo usiseme kwani inawezekana kwa siku ukahitajika kuwalipa wateja zaidi ya hata Ml 10 cash!

Kumbuka kuanza biashara hiyo among the other things you should have TIN & Business License. Sasa Mkuu naamini TRA uwezi kupanga kuwazibia riziki yao kwani angalau watakutaka ulipie 1/3 ya kodi ya mwaka. Umachinga sawa kwa sababu jamaa hawalipi kodi, hawana fremu, hawana leseni, hawana mzani n.k na lazima ujiandae kuwa unatoa vikaratasi kwa askari wa jiji! Ushauri wa Mzalendo ni mzuri lakini unahitaji fedha kuutekeleza.

Sasa kama ni kukupa mawazo tu tutakupa hata yasiyotekelezeka ili ufurahie. Mi naweza kusema nunua ndege ndogo hela utaikimbia. Wazungu na hata vibopa wa ki TZ wana kodi unapata mchongo! Lkn najua kwa hela hiyo ni blaa blaa tu.

Kwa level uliyofikia, given elimu, ujasiriamali wako wa bucha n.k. najua hela ya kula haikosi. Let you aim higher. Fikiria mkubwa mtaji zaidi na kupanua wigo wa biashara hata kama ni hatua kwa hatua. Kumbuka kwa kadri utakavyoendelea kutumia mtaji mdogo ndivyo utakavyoendelea kupata faida ndogo (Under ceteris peribus) ambayo itakuwa ikikidhi matumizi kidogo ya nyumbani zingatia kwamba gharama za maisha zinapanda na matumizi yanaongezeka.
 
Mtaji kwa maana ya fedha ni kitu kigumu kukielezea ktk medani ya biashara/investments

Mfano; Mzee mmoja rafiki yangu kule Usangu aliniomba 80,000/( kumbuka kijijini hiyo hela ni ndefu sana kwa mtu kukuazimisha, mzee alihangaika sana) ili anunulie baiskeli na akaniahidi baada ya week tatu atanirudishia na faida juu. Baiskeli alitumia kubebea kambale na kupeleka Chimala. Ile hela ilirudi na sasa mzee yule ana pikipiki 3 baada ya miaka 2. Amezipaki nyumbani anatumia moja tu anaposafirisha mizigo yake. Anasema sasa anatafuta kagari kadogo ili aboreshe biashara yake.

Unasemaje, kwa mama wa kihehe anayehitaji 50,000/ ili aanzishe mradi wa kupika na kuuza common ( kumbuka wengi humu wamesomeshwa na biashara hizi za pombe) na akasomesha,akakusanya faida na baadae akafungua cafe nzuri ?

Ninachotaka kusema hapa ni kwamba,kila mtaji una mazingira yake na aina ya biashara,ktk kutafuta vyeti vyenu msiviweke usoni,fungia kabatini,watu watajua kuwa umepiga shule baada ya matokeo ya kazi/plan zako.
 
Mkuu kinachomatter ni attitude yako. Wengi tulianza harakati na fedha kama hizo na wengine chini yapo.

Kabla sijaenda mbali, naomba nikuulize swali, umeshafikiria kuteam up na watu kwenye circle yako ili mfanye kitu kimoja as a team?

Okey, tuendelee. Unaweza ukajiunga SACCOS na kwa hiyo 2.5m ukavuta 10m after a month or 3. Chukua 7.4m na 2.6m acha kwenye akaunti yako kwa ajili ya precautionary au marejesho ya miezi mitano ya mwanzo (+ mwezi m1 wa grace period ni miezi 6 hiyo). Hapo utakuwa na mtaji mkubwa kidogo. Wakati huo utakuwa unajenga mtaji mkubwa zaidi tofauti na cash, yaan social capital ambayo itakusaidia baadae kwenye operation zako.

Tafuta biashara ndogo ambayo payback period yake is not more than 6months. E.g M-PESA, Car Wash, kijiwe cha chips, bodaboda 2 etc na take home yake kwa mwezi isiwe chini ya laki 4.

Ukichambua kwa Umakini utagundua kuwa investmest cost ya hiyo miradi hapo juu is not more than 2.4m. Ukiweza hii utakuwa umejihakikishia kurejesha mkopo wako after six months baada ya kurecover investment cost. Wakati unaanza hii hyo 5m ingia nayo kwenye money lending business kwa interest ya 10%

Ukiweza kufanya hv, tengeneza business systems nzuri ili udelegate operation za hyo biashara ndogo kwa mtu mwingine halafu wewe concentrate kwenye "money lending business". After 6months utakuwa na capital isiyopungua 11M. Out of 11m, profit yako itakuwa 1.1m kwa mwezi, na profit margin itazidi kupanda kama utakuwa unafanya reinvestment. After a year utanitafuta ukiwa na wazo la kuanzisha microfinance company.

Challenge ni kwamba.
1. Sio Saccos zote unaweza kwenda wakakupa 10m kwa mara ya kwanza kwan wengine watataka uanzie from stage 1 (not more than 1), stage 2, stage 3, na ukifika stage 4 ndio 10m or above

2. Wengine wanataka uwe member kwa miezi 3 au sita ndio ukope.

But kizuri ni kwamba wapo wanaotoa kama nilivyoeleza hapo juu. Nashindwa kukupa list kwan sijui upo mkoa gani. I've been there, i have done that.
 
Mkuu,unamiliki bucha,unaishi Dar,umesoma mpaka Masters,unasema utasimamia mwenyewe,Duh! sasa ktk SWOT ya fasta fasta tayari umeshashinda,wewe ni kufanya foward intergration tu,au backward int.kutegemea upo confortable na kipi,

nakushauri ununue mashine ndogo ya kutengeneza sosegi, chukua mabaki yako ya buchani tengeneza sosegi kama ulaya,tafuta kijana afanye usambazaji ,au tumia vijana wanaopita mtaani na ktk bar za dar wakiuza sosegi za Farmers Choice, nawe tengeneza brand yako kama hiyo ,tumia rangi za hivyo hivyo,ila jina tu liwe kama hilo tu. eg Farmers choices,Farmers sausege, au Farmers Sosegi,au Farm Choice,au Best Choice,ila kumbuka rangi na nembo yako vifananefanane na farmers choice,
hiyo wanaita brand extension e.g Azam cola ,badala ya Cocacola

this link itakupa all the details about how to start to make your own brand sausages
Sausagemaking.co.uk

b
ei za machine zinaanzia laki3 tu
http://www.designasausage.com/pages/prods.asp?catid= 1&subcatid=32

wewe umesomeka
 
fanya biashara ya ng'ombe.utamnunua kanda ya ziwa kwa laki tatu akifka pugu unauza jwa laki hadi saba.usafiri unakodi fuso haizidi laki sita hadi dar

Kanda ya ziwa gan wanakouza cow lak 3 mzee? na fuso lak 6 mpk dar? sidhani asee
 
Mkuu kinachomatter ni attitude yako. Wengi tulianza harakati na fedha kama hizo na wengine chini yapo.

Kabla sijaenda mbali, naomba nikuulize swali, umeshafikiria kuteam up na watu kwenye circle yako ili mfanye kitu kimoja as a team?

Okey, tuendelee. Unaweza ukajiunga SACCOS na kwa hiyo 2.5m ukavuta 10m after a month or 3. Chukua 7.4m na 2.6m acha kwenye akaunti yako kwa ajili ya precautionary au marejesho ya miezi mitano ya mwanzo (+ mwezi m1 wa grace period ni miezi 6 hiyo). Hapo utakuwa na mtaji mkubwa kidogo. Wakati huo utakuwa unajenga mtaji mkubwa zaidi tofauti na cash, yaan social capital ambayo itakusaidia baadae kwenye operation zako.

Tafuta biashara ndogo ambayo payback period yake is not more than 6months. E.g M-PESA, Car Wash, kijiwe cha chips, bodaboda 2 etc na take home yake kwa mwezi isiwe chini ya laki 4.

Ukichambua kwa Umakini utagundua kuwa investmest cost ya hiyo miradi hapo juu is not more than 2.4m. Ukiweza hii utakuwa umejihakikishia kurejesha mkopo wako after six months baada ya kurecover investment cost. Wakati unaanza hii hyo 5m ingia nayo kwenye money lending business kwa interest ya 10%

Ukiweza kufanya hv, tengeneza business systems nzuri ili udelegate operation za hyo biashara ndogo kwa mtu mwingine halafu wewe concentrate kwenye "money lending business". After 6months utakuwa na capital isiyopungua 11M. Out of 11m, profit yako itakuwa 1.1m kwa mwezi, na profit margin itazidi kupanda kama utakuwa unafanya reinvestment. After a year utanitafuta ukiwa na wazo la kuanzisha microfinance company.

Challenge ni kwamba.
1. Sio Saccos zote unaweza kwenda wakakupa 10m kwa mara ya kwanza kwan wengine watataka uanzie from stage 1 (not more than 1), stage 2, stage 3, na ukifika stage 4 ndio 10m or above

2. Wengine wanataka uwe member kwa miezi 3 au sita ndio ukope.

But kizuri ni kwamba wapo wanaotoa kama nilivyoeleza hapo juu. Nashindwa kukupa list kwan sijui upo mkoa gani. I've been there, i have done that.

Mchanganuo mzuri sana huu
 
Mkuu kinachomatter ni attitude yako. Wengi tulianza harakati na fedha kama hizo na wengine chini yapo.

Kabla sijaenda mbali, naomba nikuulize swali, umeshafikiria kuteam up na watu kwenye circle yako ili mfanye kitu kimoja as a team?

Okey, tuendelee. Unaweza ukajiunga SACCOS na kwa hiyo 2.5m ukavuta 10m after a month or 3. Chukua 7.4m na 2.6m acha kwenye akaunti yako kwa ajili ya precautionary au marejesho ya miezi mitano ya mwanzo (+ mwezi m1 wa grace period ni miezi 6 hiyo). Hapo utakuwa na mtaji mkubwa kidogo. Wakati huo utakuwa unajenga mtaji mkubwa zaidi tofauti na cash, yaan social capital ambayo itakusaidia baadae kwenye operation zako.

Tafuta biashara ndogo ambayo payback period yake is not more than 6months. E.g M-PESA, Car Wash, kijiwe cha chips, bodaboda 2 etc na take home yake kwa mwezi isiwe chini ya laki 4.

Ukichambua kwa Umakini utagundua kuwa investmest cost ya hiyo miradi hapo juu is not more than 2.4m. Ukiweza hii utakuwa umejihakikishia kurejesha mkopo wako after six months baada ya kurecover investment cost. Wakati unaanza hii hyo 5m ingia nayo kwenye money lending business kwa interest ya 10%

Ukiweza kufanya hv, tengeneza business systems nzuri ili udelegate operation za hyo biashara ndogo kwa mtu mwingine halafu wewe concentrate kwenye "money lending business". After 6months utakuwa na capital isiyopungua 11M. Out of 11m, profit yako itakuwa 1.1m kwa mwezi, na profit margin itazidi kupanda kama utakuwa unafanya reinvestment. After a year utanitafuta ukiwa na wazo la kuanzisha microfinance company.

Challenge ni kwamba.
1. Sio Saccos zote unaweza kwenda wakakupa 10m kwa mara ya kwanza kwan wengine watataka uanzie from stage 1 (not more than 1), stage 2, stage 3, na ukifika stage 4 ndio 10m or above

2. Wengine wanataka uwe member kwa miezi 3 au sita ndio ukope.

But kizuri ni kwamba wapo wanaotoa kama nilivyoeleza hapo juu. Nashindwa kukupa list kwan sijui upo mkoa gani. I've been there, i have done that.

ni mchanganuo mzur xana, ss mkuu hiv hii biashara ya money lending mwanzon unavoanza inakuaje, unapokopesha watu ni vema wakulipe baada ya mda gan na dhamana inabid iwe nin sanasana na kimtaani usumbufu wa ulipaji inakuaje na inabid kuconsider vtu gan mpak kumpa mtu mkopo
 
Kanda ya ziwa gan wanakouza cow lak 3 mzee? na fuso lak 6 mpk dar? sidhani asee
acha fuso,miaka hiyo ya 2010 nilikua naeza kupakia mzigo wa tani 20 kwenye semi trail kwa hiyo laki sita kutoka kanda ya ziwa to dar.kwabei ya 30,000 kwa tani moja.kwasasa sijui ila bei huwa haibadiliki sana.kwani mafuso na semi nyingi hupeleka mzigo wa madukani kanda ya ziwa na wakati wa kurudi dar unakuta asipopata mzigo anarudi tupu,kitu ambacho kwa transporter ni hasara,kwani anatumia mafuta.

Bei ya cow kipindi hicho ndo ilikua bei ya chini,sijui sasa bei ikoje.
 
Hata ukitafuta tin leseni na kulipia leseni zote bado huo ni mtaji tosha.

Ebu fanya research kuhusu soko la samaki karibu na ulipo. Ni biashara nzuri tu..
 
Wakuu msaada, najua kuna vichwa humu, naombeni msaada wa biashara gani nifanye, nina capital ya 2.5m/-.

Asanteni

Hakuna kitu kipya zaidi nikuangalia wengine wanafanya nini na wewe unawezaje kufanya tofauti na wengine kisha anza kufanya kwa kuonyesha tofauti.All the best.
 
Mkuu kinachomatter ni attitude yako. Wengi tulianza harakati na fedha kama hizo na wengine chini yapo.

Kabla sijaenda mbali, naomba nikuulize swali, umeshafikiria kuteam up na watu kwenye circle yako ili mfanye kitu kimoja as a team?

Okey, tuendelee. Unaweza ukajiunga SACCOS na kwa hiyo 2.5m ukavuta 10m after a month or 3. Chukua 7.4m na 2.6m acha kwenye akaunti yako kwa ajili ya precautionary au marejesho ya miezi mitano ya mwanzo (+ mwezi m1 wa grace period ni miezi 6 hiyo). Hapo utakuwa na mtaji mkubwa kidogo. Wakati huo utakuwa unajenga mtaji mkubwa zaidi tofauti na cash, yaan social capital ambayo itakusaidia baadae kwenye operation zako.

Tafuta biashara ndogo ambayo payback period yake is not more than 6months. E.g M-PESA, Car Wash, kijiwe cha chips, bodaboda 2 etc na take home yake kwa mwezi isiwe chini ya laki 4.

Ukichambua kwa Umakini utagundua kuwa investmest cost ya hiyo miradi hapo juu is not more than 2.4m. Ukiweza hii utakuwa umejihakikishia kurejesha mkopo wako after six months baada ya kurecover investment cost. Wakati unaanza hii hyo 5m ingia nayo kwenye money lending business kwa interest ya 10%

Ukiweza kufanya hv, tengeneza business systems nzuri ili udelegate operation za hyo biashara ndogo kwa mtu mwingine halafu wewe concentrate kwenye "money lending business". After 6months utakuwa na capital isiyopungua 11M. Out of 11m, profit yako itakuwa 1.1m kwa mwezi, na profit margin itazidi kupanda kama utakuwa unafanya reinvestment. After a year utanitafuta ukiwa na wazo la kuanzisha microfinance company.

Challenge ni kwamba.
1. Sio Saccos zote unaweza kwenda wakakupa 10m kwa mara ya kwanza kwan wengine watataka uanzie from stage 1 (not more than 1), stage 2, stage 3, na ukifika stage 4 ndio 10m or above

2. Wengine wanataka uwe member kwa miezi 3 au sita ndio ukope.

But kizuri ni kwamba wapo wanaotoa kama nilivyoeleza hapo juu. Nashindwa kukupa list kwan sijui upo mkoa gani. I've been there, i have done that.

mkuu ebu tupe listi ambao tupo dodoma na mara,,,,
 
Nipm kama utakuwa interested na biashara ya kulima matikiti maji,nina eneo hapo kigamboni ukiweka m2.5 ndani ya mwaka nitakupa m10
 
Mkuu kinachomatter ni attitude yako. Wengi tulianza harakati na fedha kama hizo na wengine chini yapo.

Kabla sijaenda mbali, naomba nikuulize swali, umeshafikiria kuteam up na watu kwenye circle yako ili mfanye kitu kimoja as a team?

Okey, tuendelee. Unaweza ukajiunga SACCOS na kwa hiyo 2.5m ukavuta 10m after a month or 3. Chukua 7.4m na 2.6m acha kwenye akaunti yako kwa ajili ya precautionary au marejesho ya miezi mitano ya mwanzo (+ mwezi m1 wa grace period ni miezi 6 hiyo). Hapo utakuwa na mtaji mkubwa kidogo. Wakati huo utakuwa unajenga mtaji mkubwa zaidi tofauti na cash, yaan social capital ambayo itakusaidia baadae kwenye operation zako.

Tafuta biashara ndogo ambayo payback period yake is not more than 6months. E.g M-PESA, Car Wash, kijiwe cha chips, bodaboda 2 etc na take home yake kwa mwezi isiwe chini ya laki 4.

Ukichambua kwa Umakini utagundua kuwa investmest cost ya hiyo miradi hapo juu is not more than 2.4m. Ukiweza hii utakuwa umejihakikishia kurejesha mkopo wako after six months baada ya kurecover investment cost. Wakati unaanza hii hyo 5m ingia nayo kwenye money lending business kwa interest ya 10%

Ukiweza kufanya hv, tengeneza business systems nzuri ili udelegate operation za hyo biashara ndogo kwa mtu mwingine halafu wewe concentrate kwenye "money lending business". After 6months utakuwa na capital isiyopungua 11M. Out of 11m, profit yako itakuwa 1.1m kwa mwezi, na profit margin itazidi kupanda kama utakuwa unafanya reinvestment. After a year utanitafuta ukiwa na wazo la kuanzisha microfinance company.

Challenge ni kwamba.
1. Sio Saccos zote unaweza kwenda wakakupa 10m kwa mara ya kwanza kwan wengine watataka uanzie from stage 1 (not more than 1), stage 2, stage 3, na ukifika stage 4 ndio 10m or above

2. Wengine wanataka uwe member kwa miezi 3 au sita ndio ukope.

But kizuri ni kwamba wapo wanaotoa kama nilivyoeleza hapo juu. Nashindwa kukupa list kwan sijui upo mkoa gani. I've been there, i have done that.

Enter hembu tupe list ya hizo Saccoss kwa Dar
 
Kwenye biashara unaweza kujiendeleza kwa kufanya integration, forward au backward. Mfano mwenye shamba la miwa anaamua kuwa pia na biashara ya kukamua na kuuza juisi ya miwa.

Kwa maana hiyo unaweza kuendelea na biashara, badala ya kuishia kuuza nyama mbichi, tafuta jiko kwenye bar na kuuza supu na nyama choma.
 
Back
Top Bottom