Mtag mwenye mikono yake!

Now umekuja kwenye point! then angalia tena hiyo picha utaelewa maaana yangu
Nawe pia mkuu hukunielewa,hiyo picha inafananisha mikono ya mtu na ndizi ila imechukuliwa kawaida tu na ndipo nikauliza mfano tungeweka picha ya mtu mweusi na tukaonganisha na picha ya tairi la gari je,unafikiri hali ingekuaje humu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…