Mtag mwenye mikono yake!

Umenifanya nitokwe mate nakuingiwa na hamu ya ghafla hizo ndiz zinavutia
 
Hapa ndo huwa nachoka aiseee, hii ni nn jamani, hvi kwann watu hawajikubali walivyo, ama waliambiwa ukiwa mweusi ni mbaya
Najivunia ublack wangu aiseeee
 
Sijui kwanini napenda wadada weupe bila kujali ni wa Asili au mkorogo.
Mikono imenivutia
 
Kwahiyo pia tukieka picha ya mtu mweusi sana halafu tukaonganisha na picha ya tairi la gari nayo pia itakuaje?
 
Kwahiyo pia tukieka picha ya mtu mweusi sana halafu tukaonganisha na picha ya tairi la gari nayo pia itakuaje?
nadhani hujaelewa topic iliyopo ubaoni mkuu, pitia tena na pia ni ruksa kuandikia uzi hayo matairi yako
 
Hapa ndo huwa nachoka aiseee, hii ni nn jamani, hvi kwann watu hawajikubali walivyo, ama waliambiwa ukiwa mweusi ni mbaya
Najivunia ublack wangu aiseeee
safi sana mke, nakupendea huo huo weusi wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…