heheheheheheee............mtaani kwako kuna vituko gani hebu tu-share kidogo
huku kwetu kitaaani kuna vituko saaaana,
kuna mlevi mmoja wa banana beer huwa akipita kila siku utasikia tu akitukana au akiremix hit songs
leo yuko na hiii........ imepanda bei hata gongo nayo imepanda bei............
huku kwetu kitaaani kuna vituko saaaana,
kuna mlevi mmoja wa banana beer huwa akipita kila siku utasikia tu akitukana au akiremix hit songs
leo yuko na hiii........ imepanda bei hata gongo nayo imepanda bei............