Mtaalamu wa urembo wa nywele nahitaji ajira

Mtaalamu wa urembo wa nywele nahitaji ajira

eliajelemia50

Member
Joined
Nov 15, 2016
Posts
12
Reaction score
8
Habari zenu jamani humu ndani nimekuja kwenu nikiwa ni muhitaji wa ajira salon ya kike ambayo ipo vizur kwa vifaa vyote vya salon iliopo dar moro au tanga nafanya huduma zote za urembo kama kushonea wiving na kubond vizur na style zote kufanya makeup aina zote na kufunga maremba nasuka nywele na kupamba maharusi
Kuset na nywele kubandika nywele n.k
Ni mwaminifu na pia ni mzoefu wa miaka 5 na na nina cheti cha hair beuaty toka vtc mikumi ni mcheshi kwa wateja .
Jinsia yangu ni me/ umri wangu miaka 27
No yangu +255715992666
Asanten kwa ushirikiano wenu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waombe Mods warekebishe tittle hiyo, hakuna 'Mtaaramu' ila tuna 'MTAALAMU'
 
Mkuu shuka chini kidogo kuna post jukwaa hili nimeona mtu anatafuta mfanyakazi wa saluni dar
 
Habari zenu jamani humu ndani nimekuja kwenu nikiwa ni muhitaji wa ajira salon ya kike ambayo ipo vizur kwa vifaa vyote vya salon iliopo dar moro au tanga nafanya huduma zote za urembo kama kushonea wiving na kubond vizur na style zote kufanya makeup aina zote na kufunga maremba nasuka nywele na kupamba maharusi
Kuset na nywele kubandika nywele n.k
Ni mwaminifu na pia ni mzoefu wa miaka 5 na na nina cheti cha hair beuaty toka vtc mikumi ni mcheshi kwa wateja .
Jinsia yangu ni me/ umri wangu miaka 27
No yangu +255715992666
Asanten kwa ushirikiano wenu .

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri anzisha ma group ya WhatsApps,hapo utawapata watu mbali mbali wengine wanamatatizo ya ngozi ambayo ni complex lazima watataka kuku consultant,hasa wadada Wana matatizo mengi Sana ya ngozi na wengi wanataka solution wapo wenye matatizo ya stretch marks aka mifereji ya utamu,wengine wameathirika na carolyte na vipodozi vingine,alafu kama una muda pia mtafute mtu akufundishe kupaka rangi za kucha nayo itakufanya ukuze soko,Ila ukitaka ajira moja kwa moja sisemj kama hutapata Ila itakutaka muda zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom