Natafuta kazi ya beauty salon Dar

Natafuta kazi ya beauty salon Dar

Joined
Sep 23, 2019
Posts
20
Reaction score
2
Ni kijana wa kiume na miaka 27 Ni mtaaramu wa nywele toka chuo cha veta mikumi na uzoefu mkubwa wa ya urembo wa nywele hair dressing hair beauty Wiving bonding makeup mwenye salon dar nahitaji ajira nipo Dar no 0743482722
 
Mkuu Elia hongera kwa kuweza kuchukulia fani ya urembo serious, natumaini utakua umeiva kweli yaani mtaalam kweli wa kudesign nywele.

Ushauri wangu kama kunakazi tayari umefanya ambatanisha picha za watu uliwatengeneza nywele.
Kumbuka kuficha taswira ya mtu wengine hawapendi kutumika katika matangazo
Hii itakusaidia kwani mtu tayari atakua ameona ufanisi wa kazi yako

Pili ikiwa unaendelea kusubiri kupata kazi ya mtu akutume.Wewe anza kwa kutengeneza wigs mbali mbali kama za rasta, croshet, na mawigi mengineyo halafu
tafuta wateja wako mtandaoni kwa kutumia simu yako.
Wateja wako wanapatikana maofisini mpaka wa mama wanyumbani .

Mtaji wako unaanzia elfu 10, kutengeneza pesa zaidi ni jinsi ya wewe utakavyoweza kusimamia na kuboresha ujuzi wako.
 
Ni kijana wa kiume na miaka 27 Ni mtaaramu wa nywele toka chuo cha veta mikumi na uzoefu mkubwa wa ya urembo wa nywele hair dressing hair beauty Wiving bonding makeup mwenye salon dar nahitaji ajira nipo Dar no 0743482722
U marioo unakunukia
 
Back
Top Bottom