Mtaalamu wa milango na madirisha (house finishing)

bwegebwege

JF-Expert Member
Jul 30, 2010
1,071
185
Wana JF! Mtaniwia radhi kama naleta hoja mahali pasipofaa, ila nahitaji msaada.

Tunatafuta mtaalamu wa ukweli kufanya finishing (carpentry works) ya nyumba kubwa ya vyumba vitano including Master bedroom, Living room, Kitchen, Laundry and storage room. Kazi anayotakiwa kuifanya ni kuchonga kuweka frames za milango na madirisha of high standards (mbao nzuri na kazi ya kiwango cha juu). Kazi inatarajia kuanza mwishoni mwa mwezi March. Kama kuna mwana JF anayefahamu mtaalamu yeyote naomba contacts…..awe tayari kuonyesh akazi alizokwisha fanya

Nawasilisha
 
Wana JF! Mtaniwia radhi kama naleta hoja mahali pasipofaa, ila nahitaji msaada.

Tunatafuta mtaalamu wa ukweli kufanya finishing (carpentry works) ya nyumba kubwa ya vyumba vitano including Master bedroom, Living room, Kitchen, Laundry and storage room. Kazi anayotakiwa kuifanya ni kuchonga kuweka frames za milango na madirisha of high standards (mbao nzuri na kazi ya kiwango cha juu). Kazi inatarajia kuanza mwishoni mwa mwezi March. Kama kuna mwana JF anayefahamu mtaalamu yeyote naomba contacts…..awe tayari kuonyesh akazi alizokwisha fanya

Nawasilisha

Call 0713876210
 
tunaweza kazi yako vizuri kabisa na utaipenda wewe mwenyewe, n u will enjoy working with us... If u r intrested really, jst pm me
 
Mkuu ,unaweza kupata milango ktk standard ya milango ya 5 star hotels ,eg. Sea cliff/kilimanjaro etc
Fundi yupo siyo msumbufu aliniafanyia kazi nzuri sana,Tatizo ni Bei tu,Frame alicharge 155,000.Top ya mlango ni 230,000 so mlango mmoja uligharimu 385,000 na kitasa 65,000 and bawaba 60,000 inakuja around laki 490,000 per mlango.Kwakweli ukishapachikwa unaweza kuwa unauangalia like a work of Art. hawa jamaa wapo kinondoni near bp ya mwanamboka,they are buisy throughout the year.ukiona watakufaa let me know jamaa anaitwa Malisa.
Wana JF! Mtaniwia radhi kama naleta hoja mahali pasipofaa, ila nahitaji msaada.

Tunatafuta mtaalamu wa ukweli kufanya finishing (carpentry works) ya nyumba kubwa ya vyumba vitano including Master bedroom, Living room, Kitchen, Laundry and storage room. Kazi anayotakiwa kuifanya ni kuchonga kuweka frames za milango na madirisha of high standards (mbao nzuri na kazi ya kiwango cha juu). Kazi inatarajia kuanza mwishoni mwa mwezi March. Kama kuna mwana JF anayefahamu mtaalamu yeyote naomba contacts…..awe tayari kuonyesh akazi alizokwisha fanya

Nawasilisha
 
Mkuu ,unaweza kupata milango ktk standard ya milango ya 5 star hotels ,eg. Sea cliff/kilimanjaro etc
Fundi yupo siyo msumbufu aliniafanyia kazi nzuri sana,Tatizo ni Bei tu,Frame alicharge 155,000.Top ya mlango ni 230,000 so mlango mmoja uligharimu 385,000 na kitasa 65,000 and bawaba 60,000 inakuja around laki 490,000 per mlango.Kwakweli ukishapachikwa unaweza kuwa unauangalia like a work of Art. hawa jamaa wapo kinondoni near bp ya mwanamboka,they are buisy throughout the year.ukiona watakufaa let me know jamaa anaitwa Malisa.

Mkuu huyu fundi wako anatumia mti gani? Maana nilikutana na fundi mmoja mahali yeye anatumia Mkongo na gharama ya mlango mmoja (double door ni Tshs 450,000) na single ni chini ya hapo. Kazi yake niliipenda kwa kweli. Ila pia alisema kama kazi ni kubwa (yaani milango ni mingi) bei inaweza kupungua.
 
ushauri tu wa bure ili kusave garama
tofautisha kati ya mlango wa nje( main door) na wa ndani(vyumbani).
mlango wa ndani unaweza ukawa mwepesi na bei rahisi hii itakupunguzia garama
mlango wa nje ndio kama unavyoelewa
 
Mkuu huyu fundi wako anatumia mti gani? Maana nilikutana na fundi mmoja mahali yeye anatumia Mkongo na gharama ya mlango mmoja (double door ni Tshs 450,000) na single ni chini ya hapo. Kazi yake niliipenda kwa kweli. Ila pia alisema kama kazi ni kubwa (yaani milango ni mingi) bei inaweza kupungua.

hii thread bado ipo live,nilidhani ilishafungwa,
jamaaa anatumia mbao nzuri(like mnninga)wapo kinondoni kwa manyanya,karibu na baa ya casablanca,ukiuliza seremala workshop ya akina malisa/wachaga, utapelekwa hata na mtoto mdogo,
their number one priority is Quality,Quality and Quality. siwafagilii bure kwani nimewatumia kwa kazi nyingi.
tatizo lao moja tu,
Wana Bei Juu kulinganisha na mafundi seremala wengine
 
Back
Top Bottom