ss amu c bora umalizie somo umechoka nn tena?au nawe unaandaa cha mchanaViazi ulaya vichemshe viize vilainike kabisa kisha ponda ponda kwa mwiko vivuruge viwe unga.
Chukua nyama ya kusaga weka ndimu,pilipili manga chumvi chemsha ikishaiva acha ipoe.
Chukua viazi ulivyoponda changanya na chumvi tenngeneza donge kisha katikati weka nyama.
Daaamn nimeshachoka kuandika mwingine ataendeleq kuanzia hapo nlipoisha najuq hivyo simple and clear
Viazi ulaya vichemshe viize vilainike kabisa kisha ponda ponda kwa mwiko vivuruge viwe unga.
Chukua nyama ya kusaga weka ndimu,pilipili manga chumvi chemsha ikishaiva acha ipoe.
Chukua viazi ulivyoponda changanya na chumvi tenngeneza donge kisha katikati weka nyama.
Daaamn nimeshachoka kuandika mwingine ataendeleq kuanzia hapo nlipoisha najuq hivyo simple and clear
Ha ha ha haa kazi hii anaiweza farkhina. ..hivo viazi usisahau kuviweka na ndimu + pilipili km mpenzi wa mchapuko!!....baada ya kuvifunga tapakaa unga ngano (mkavu usijemix na maji)/unga tosi then weka karai la mafuta kupikia jikon wacha yapate banja mayai kwenye bakuli km mawili utachovya na kuchoma...katles tayar kwa kuliwa... amu...sijui ndo ulitaka kumalia hivyo?!
ss amu c bora umalizie somo umechoka nn tena?au nawe unaandaa cha mchana