Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Wakuu,
Nataka kujifunza mambo haya hapa:
1) MapINFO
2) GIS mapping - specifically on mapping water sources
Ninatafuta mtaalamu aliyebobea anifundishe jinsi ya kutumia hizo applications. Ninatarajia kuwa Dar es Salaam kati ya tarehe 20 Dec 2012 mpaka Tarehe 14 January 2013.
Please PM me kama mtalaamu ndo weye au kama kuna mtu unamfahamu ili tuzungumze terms zinakuwaje. Natanguliza shukrani
Nataka kujifunza mambo haya hapa:
1) MapINFO
2) GIS mapping - specifically on mapping water sources
Ninatafuta mtaalamu aliyebobea anifundishe jinsi ya kutumia hizo applications. Ninatarajia kuwa Dar es Salaam kati ya tarehe 20 Dec 2012 mpaka Tarehe 14 January 2013.
Please PM me kama mtalaamu ndo weye au kama kuna mtu unamfahamu ili tuzungumze terms zinakuwaje. Natanguliza shukrani