Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

Ninatatizo la kukojoa mara kwa mara ninapokunywa maji mengi kuanzia lita 1.5 na kuendelea kwa muda mrefu. Ila nikishiba na kushindilia maji inakuwa kawaida sana. Kinachonikera ile kwenda chooni mara kwa mara kwa dakika chache.

Nahitaji maji ninayokunywa yakae mwilini. Ni tatizo la muda mrefu had inanipelekea kutopendwa kunywa maji inavyotakiwa

Nahisi labda msuli wa pelvic floor hauko imara au kuna tatizo lingine linasababisha ili tatizo kwani sina ugonjwa wa sukari.
ninasubiri jibu na mimi.
 
Nina tatizo la miguu hasa ktk goti inalia km vijiti vinavyovunjwa hivi ...lkn pia ute ni kama haupo ...pia mifupa huniuma na miguu kuchemka au kuwa ya moto sana na maumivu makali sana...na pia nikisimama muda mrefu nashindwa kabisa ...japo sina unene wowote ...naomba unisaidie
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.






 
Dr mi nauliza tatizo la mimba, mke wangu anateseka sana na hili tatizo, na tulishajaaliwa kupata watoto bila shida, ila kwa sasa tangu mimba ya mwisho ilipoharibika ukiwa na Miezi 3 akacheleweshwa kisafishwa tangu hapo sasa ni zaidi ya miaka 4 hatujafanikiwa tena, na utra sound akipimwa majibu ni kizungumkuti, kwingine unaambiwa kizazi na mirija safi, kwingine unaambiwa mirija imeziba madawa amekunywa ya kufungua mirija karibu nafungua famasi, mimi nimepima mbegu zimejaa, nisaidie la kufanya maana umri nao unatukimbia sasa hivi mke wangu Ana 42 age lakini bado anableed
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.







Ninalotatizo la miaka mingi nikisumbuliwa na sub-mandibular salivary glands kwa pande zote mbili. Zinapata blockage na kuzuia mate kutoka. Niliambiwa inaweza kuwa ni stones lakini uchunguzi wangu siyo stones, tatizo ni salivary inakuwa very thick na kushindwa kutoka. nikilazimisha kwa kubonyeza glands, salivary inatoka ikiwa ngumu na wakati mwingine kama uzi.

Nitumie dawa gani?
 
Natatizo mmoja.napokuwa na lala kabla sijapata usingizi Wa jumla au nikiwa naelekea kuchukulia na usingizi.nashutuka kwa nguvu sana na hapo ndio napata usingizi nalala moja kwa moja naomba msaada nini tatizo
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.









Asante sana

Dr. mimi nimeambiwa nina fat kwenye ini (utra sound). Pia nimeambiwa nina stone katika mrija mmojawapo utokao kwenye kibofu cha mkojo (ultrasound). Nipe ushauri nifanyeje.
Nilifanya hivi vipimo katika taratibu zangu za kawaida, hivyo sikuwa nasumbuliwa na tatizo lolote kabla ya hapo na mpaka sasa sihisi tatizo lolote na sijabadili utaratibu wangu wa maisha wa kawaida kwa sababu ya hayo.
 
Asante sana

Dr. mimi nimeambiwa nina fat kwenye ini (utra sound). Pia nimeambiwa nina stone katika mrija mmojawapo utokao kwenye kibofu cha mkojo (ultrasound). Nipe ushauri nifanyeje.
Nilifanya hivi vipimo katika taratibu zangu za kawaida, hivyo sikuwa nasumbuliwa na tatizo lolote kabla ya hapo na mpaka sasa sihisi tatizo lolote na sijabadili utaratibu wangu wa maisha wa kawaida kwa sababu ya hayo.

Naomba unipelekee hizo vipimo kwenye PM.
 
Ninatatizo la kukojoa mara kwa mara ninapokunywa maji mengi kuanzia lita 1.5 na kuendelea kwa muda mrefu. Ila nikishiba na kushindilia maji inakuwa kawaida sana. Kinachonikera ile kwenda chooni mara kwa mara kwa dakika chache.

Nahitaji maji ninayokunywa yakae mwilini. Ni tatizo la muda mrefu had inanipelekea kutopendwa kunywa maji inavyotakiwa

Nahisi labda msuli wa pelvic floor hauko imara au kuna tatizo lingine linasababisha ili tatizo kwani sina ugonjwa wa sukari.

Inawezekana kuwa tatizo la bladder. Tafadhali fika kwenye kituo cha afya na umuone daktari akufanyie ultrasound ya eneo hilo.
 
Back
Top Bottom