Mtaalam wa nishati ya Umeme Jua (Solar Power)

Mtaalam wa nishati ya Umeme Jua (Solar Power)

MwanaHaki

R I P
Joined
Oct 17, 2006
Posts
2,401
Reaction score
710
Waungwana

Sijui kama hapa ni mahala pake, lakini namtafuta mtu ambaye ni mtaalam wa nishati ya umeme jua, haswa mtu ambaye ni mhandisi, au kijana yeyote yule aliyesomea, kwa mfano, pale VETA, ambapo somo hili linafundishwa vizuri sana.

Iwapo mnamfahamu mtu kama huyo, tafadhalini niandikieni jina lake na namba PM yake mapema iwezekanavyo. Kuna mradi mkubwa unakuja, nahitaji kuwa na mtu kama huyo, ili nimshirikishe.

Asanteni.
 
Iwapp sijaeleweka, mtaalam huyu anahitajika kwa ajira ya moja kwa moja.
 
Iwapp sijaeleweka, mtaalam huyu anahitajika kwa ajira ya moja kwa moja.

Mkuu habari,

Kuna kijana ninamfahamu, ni mtaalamu sana wa mambo hayo. kama haujapata niambie nifanye utaratibu wa kukuunganisha nae. He is very competent

Thanks,
 
Waungwana

Sijui kama hapa ni mahala pake, lakini namtafuta mtu ambaye ni mtaalam wa nishati ya umeme jua, haswa mtu ambaye ni mhandisi, au kijana yeyote yule aliyesomea, kwa mfano, pale VETA, ambapo somo hili linafundishwa vizuri sana.

Iwapo mnamfahamu mtu kama huyo, tafadhalini niandikieni jina lake na namba PM yake mapema iwezekanavyo. Kuna mradi mkubwa unakuja, nahitaji kuwa na mtu kama huyo, ili nimshirikishe.

Mkuu hizo ndiyo kazi zangu na nina vyeti vya VETA ni Pm au tuwasiliane kwa namba hizi; 0717577755, 0767577755 na 0787577755. Tupeane hiyo kazi mkuu.
 
Waungwana

Sijui kama hapa ni mahala pake, lakini namtafuta mtu ambaye ni mtaalam wa nishati ya umeme jua, haswa mtu ambaye ni mhandisi, au kijana yeyote yule aliyesomea, kwa mfano, pale VETA, ambapo somo hili linafundishwa vizuri sana.

Iwapo mnamfahamu mtu kama huyo, tafadhalini niandikieni jina lake na namba PM yake mapema iwezekanavyo. Kuna mradi mkubwa unakuja, nahitaji kuwa na mtu kama huyo, ili nimshirikishe.

Mkuu hizo ndiyo kazi zangu na nina vyeti vya VETA ni Pm au tuwasiliane kwa namba hizi; 0717577755, 0767577755 na 0787577755. Tupeane hiyo kazi mkuu.

Makbel mie dalali nataka 10% yangu
 
Waungwana

Sijui kama hapa ni mahala pake, lakini namtafuta mtu ambaye ni mtaalam wa nishati ya umeme jua, haswa mtu ambaye ni mhandisi, au kijana yeyote yule aliyesomea, kwa mfano, pale VETA, ambapo somo hili linafundishwa vizuri sana.

Iwapo mnamfahamu mtu kama huyo, tafadhalini niandikieni jina lake na namba PM yake mapema iwezekanavyo. Kuna mradi mkubwa unakuja, nahitaji kuwa na mtu kama huyo, ili nimshirikishe.

Mkuu hizo ndiyo kazi zangu na nina vyeti vya VETA ni Pm au tuwasiliane kwa namba hizi; 0717577755, 0767577755 na 0787577755. Tupeane hiyo kazi mkuu.

Teh teh teht!
 
Back
Top Bottom